Msajili wa vyama aitaka CHADEMA ijieleze kwanini wanasema wasipochaguliwa wataingia barabarani, Lissu ajibu

Na kipi kipimo chenu kuwa lisu atakuwa ameshinda lakini hajatangazwa mshindi?

Matokeo ya mawakala wetu. Sio mara moja au mbili jumla kuu imekuwa ikitofautiana na matokeo halisi ya vituoni.
 
Usipotoshe. Hakusema asipochaguliwa, alisema akiibibiwa kura na kwa tafsiri pana ni kwamba HAKI ISIPOTENDEKA ATAWAHAMASISISHA WAFUASI WAKE NA WAPENDA HAKI WOTE KUPINGA UOVU HUO KWA NGUVU ZOTE.
 
Round hii Upinzani wamesimamisha mtu kweli..

Habari za namuachia Mungu wakati Mungu nae anategemea ujasiri wako round hii HAKUNA.
Mungu hayupo kwaajili ya watu waoga bali watu werevu na jasiri. Mungu hakutuumva tu wanyonge bali wenye misimamo thabiti.

Kristo alikubali kufa msabani kwaajili ya kutetea kweli ya Mungu. Katika kutetea haki yetu, hatustahili kuwa waoga, tuwe waoga kuungana na shetani. Yeye aliye wa ukweli ametufundisha kwa kutoa mfano wa namna ya kuenenda, na siku zote ukweli hushinda, ukweli hudumu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna wa kuingia barabarani na Chadema inashindwa.
 
Naona Gari inatafutiwa kipunguza mwendo 'speed governor"!
 
Hivi yale maandamano ya mange yaliushia wapi kwikwikwikwikwi...
 

Unaingia kwenye paper Hakuna hata moja ulilolikariri limo, hakuna cha topic ya sgr, flyover, ndege, mabeberu,corona halafu paper lenyewe sio la reasoning Ni la kuclaim majibu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…