Uchaguzi 2020 Msajili wa Vyama ameionya CHADEMA kwa kuongeza ubeti wa 3 katika Wimbo wa Taifa jana katika Mkutano wa Baraza Kuu

Ikiwa kisheria wimbo wa Taifa ni hizo beti mbili basi ukiongezeka ubeti wa tatu huo kisheria siyo wimbo wa Taifa tena ila wimbo tu wa mtaani.

Tatizo ni kama huo wimbo una patent kisheria.
Haina. Waache wasumbuke.
 
Chadema ni chama ambacho kilianzishwa kwa lengo moja tu la kuvuruga amani ya nchi.
 
hawa nao wameunajisi wimbo wetu🙄😛😛😛
 
Mkishazidiwa hoja ndilo kimbilio lenu, amani, amani, amani.
Yaani jamaa kama Agents wa shetani kabisa,

Hawawezi kukaa bila kusumbuana na vyombo vya dola, kma hivi basi huko waliko wanafurahi sana.
 
Yaani jamaa kama Agents wa shetani kabisa,

Hawawezi kukaa bila kusumbuana na vyombo vya dola, kma hivi basi huko waliko wanafurahi sana.
ccm hawasumbuliwi na dola kwasababu vyombo vya dola vimekumbatiwa na ccm
 
Kwani kuna ubaya gani kufanyia Remix huo wimbo?
[emoji3][emoji3]
 
Mwambie mumeo lissu hatujaribiwi.
mbona umefura kama umekula hamira bibie? hebu tuimbie hapa walichoimba chadema na kuvunja sheria. au kama umejaa nyembe nenda mahakamani ukashtaki kuliko kukaa hapo kwenye key board na kuanza kujiliza kama umetelekezwa na bwana
 
yaani wamevunja sheria kwa kumuomba Mungu aibariki Chadema na watu wake? kosa hapo ni nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…