Msajili wa vyama tusaidie: Ruzuku kazi yake kutibia Viongozi wa vyama? Mbowe rudisha milioni 400 za matibabu

CAG ka kagua kaona wako safi. Wewe shida yako ni nini kama mkaguzi mkuu aneridhika na mapato na matumizi ya CHADEMA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Wamemwagwa kwenye mitandao yote ya kijamii toka mwezi April, watakuwa huku mpaka baada ya uchaguzi mkuu. Ingia mitandao yote ya kijamii wamejaa. Wengi wana matatizo ya kiuandishi, hawajali koma, nukta wala matumizi ya herufi kubwa. Agenda zao kubwa ni kumsifia Magufuli kwa nguvu zote, kuipaka mafuta NCCR kwa mgongo wa chupa, na kubwa zaidi ni kuichafua cdm hasa Mbowe, na iwapo Lissu atarudi kugombea urais, basi kundi litaongezwa zaidi mitandaoni.
 
Da Jamii forum nafikili mpaka tufike October tarehe ya uchaguzi JINA LA MBOWE litakua limepasua vioo vya sim zote
Kwa nyuzi mnazomuanzishia mnampa umahalufu pasipo na sababu,nafikili kama ningekua may be Ccm au chadema kuelekea October ningejikita kuanzisha nyuzi hapa mafanikio ya Chama change ndani ya miaka mitano
Ila hii ya kejeli ,matusi aisadii sana fanyeni sayansi ya siasa .
Samahani nitakua nimemkwaza member yeyote ni mtazamo wangu tu
 
Tunamshukuru Kigogo2014 maana ametufungua tusiyoyajua...

CCM mnapoteza muda
 
Kutoka bil 8 had I mil 400 sio mchezo ,nimeamini ukiwa ccm unakuwa kama mtoto mchanga lazima ulale na nepi/ juzi juzi hapa mlikuwa mnalilia BL 8 sahivi imekuwa mil 400
Hicho kichwa chako naona Cha kufugia nywele tu. Haya ni madai mawili tofauti. Bl 8 ni michango aliyolazimisha wabunge wakatwe mishahara ili zitumike kuwasaidia kwenye uchaguzi. Akachikichia. Hizi mil 400 alichukua ruzuku ya chama wanayopewa mgao na serikali nahii hupewa vyama vyote vyenye wabunge. Walichikua wakaenda Nairobi eti kumtibu Lisu. Umeelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ccm ambayo vyombo vyote vya kisheria vipo chini yake inalialia hivi, je ikiwa haina dola si ndo itazikwa kabisa! CCM bila dola ni wepesi zaidi za pamba, hata Chauma ina uhafadhali

Mmesahau! 1.5 trillion zilitafunwa na majizi CCM
 
Mbona mlisema Chadema imekufa sasa midomo imewasimama kwa Chadema ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…