Msajili wa vyama tusaidie: Ruzuku kazi yake kutibia Viongozi wa vyama? Mbowe rudisha milioni 400 za matibabu

Msajili wa vyama tusaidie: Ruzuku kazi yake kutibia Viongozi wa vyama? Mbowe rudisha milioni 400 za matibabu

Kazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule

Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?

Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini
CAG ka kagua kaona wako safi. Wewe shida yako ni nini kama mkaguzi mkuu aneridhika na mapato na matumizi ya CHADEMA?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kuna motisha mpya ya mshiko wa badala ya buku 7 huko Lumumba kelekea uchaguzi mkuu mwaka huu? Naona manazi wamekuja kwa kasi mpya, tena kwa wakati mmoja safari hii na nyuzi nyingi zenye shutuma luluki kwa CDM hasa zikimlenga Mh. Mbowe.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wamemwagwa kwenye mitandao yote ya kijamii toka mwezi April, watakuwa huku mpaka baada ya uchaguzi mkuu. Ingia mitandao yote ya kijamii wamejaa. Wengi wana matatizo ya kiuandishi, hawajali koma, nukta wala matumizi ya herufi kubwa. Agenda zao kubwa ni kumsifia Magufuli kwa nguvu zote, kuipaka mafuta NCCR kwa mgongo wa chupa, na kubwa zaidi ni kuichafua cdm hasa Mbowe, na iwapo Lissu atarudi kugombea urais, basi kundi litaongezwa zaidi mitandaoni.
 
Kazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule

Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?

Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini
Da Jamii forum nafikili mpaka tufike October tarehe ya uchaguzi JINA LA MBOWE litakua limepasua vioo vya sim zote
Kwa nyuzi mnazomuanzishia mnampa umahalufu pasipo na sababu,nafikili kama ningekua may be Ccm au chadema kuelekea October ningejikita kuanzisha nyuzi hapa mafanikio ya Chama change ndani ya miaka mitano
Ila hii ya kejeli ,matusi aisadii sana fanyeni sayansi ya siasa .
Samahani nitakua nimemkwaza member yeyote ni mtazamo wangu tu
 
Tunamshukuru Kigogo2014 maana ametufungua tusiyoyajua...

CCM mnapoteza muda
 
Kutoka bil 8 had I mil 400 sio mchezo ,nimeamini ukiwa ccm unakuwa kama mtoto mchanga lazima ulale na nepi/ juzi juzi hapa mlikuwa mnalilia BL 8 sahivi imekuwa mil 400
Hicho kichwa chako naona Cha kufugia nywele tu. Haya ni madai mawili tofauti. Bl 8 ni michango aliyolazimisha wabunge wakatwe mishahara ili zitumike kuwasaidia kwenye uchaguzi. Akachikichia. Hizi mil 400 alichukua ruzuku ya chama wanayopewa mgao na serikali nahii hupewa vyama vyote vyenye wabunge. Walichikua wakaenda Nairobi eti kumtibu Lisu. Umeelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ccm ambayo vyombo vyote vya kisheria vipo chini yake inalialia hivi, je ikiwa haina dola si ndo itazikwa kabisa! CCM bila dola ni wepesi zaidi za pamba, hata Chauma ina uhafadhali

Mmesahau! 1.5 trillion zilitafunwa na majizi CCM
 
Kazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule

Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?

Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini
Mbona mlisema Chadema imekufa sasa midomo imewasimama kwa Chadema ipi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom