Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Watu wakihoji matumizi mabaya ya ruzuku ya Chadema unasema wanatumiwa? Watu wakisema ukweli Ccm imetekeleza ilani yake ya uchaguzi vizuri ni kosa?Wamemwagwa kwenye mitandao yote ya kijamii toka mwezi April, watakuwa huku mpaka baada ya uchaguzi mkuu. Ingia mitandao yote ya kijamii wamejaa. Wengi wana matatizo ya kiuandishi, hawajali koma, nukta wala matumizi ya herufi kubwa. Agenda zao kubwa ni kumsifia Magufuli kwa nguvu zote, kuipaka mafuta NCCR kwa mgongo wa chupa, na kubwa zaidi ni kuichafua cdm hasa Mbowe, na iwapo Lissu atarudi kugombea urais, basi kundi litaongezwa zaidi mitandaoni.
+ Nimrod mpaka leo anatafuna pesa za wananchiJob Ndugai gharama zake za matibabu India was incredible
Ni bilioni ngapi?Job Ndugai gharama zake za matibabu India was incredible
Ulianza vizuri,ila umemaliza vibayaKazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule
Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?
Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini
Hicho kichwa chako naona Cha kufugia nywele tu. Haya ni madai mawili tofauti. Bl 8 ni michango aliyolazimisha wabunge wakatwe mishahara ili zitumike kuwasaidia kwenye uchaguzi. Akachikichia. Hizi mil 400 alichukua ruzuku ya chama wanayopewa mgao na serikali nahii hupewa vyama vyote vyenye wabunge. Walichikua wakaenda Nairobi eti kumtibu Lisu. Umeelewa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Bilion 8 ni wabunge wa Chadema ambao aliwapiga 400 Milioni ruzukuKutoka bil 8 had I mil 400 sio mchezo ,nimeamini ukiwa ccm unakuwa kama mtoto mchanga lazima ulale na nepi/ juzi juzi hapa mlikuwa mnalilia BL 8 sahivi imekuwa mil 400
Mkuu Bilion 8 ni wabunge wa Chadema ambao aliwapiga 400 Milioni ruzuku
Sent using Jamii Forums mobile app
mavi yako
Job Ndugai gharama zake za matibabu India was incredible
Hujitambui,bunge ndiyo wanawakilisha wananchi,bunge lilijadili lini matumizi ya fedha za matibabu na kutuma ndege kubeba box 11,NDIYO maana watanzania yunadharaulika sanaNdugai alitibiwa kwa pesa za serikali yule ni spika. Ruzuku kinapewa chama kwa ajili ya matumizi ya chama sio matibabu ya mbunge.
Ndege ya rais ilitumika kwa matumizi ya serikali sio ya mtu binafsi.
Kama kweli upo fit kukichwa, eleza kazi ya ruzuku kwa vyama vya siasa ili nasi tupate nondo za kujenga hoja! Na Kama hujui, pisha kule!!!!Yule ni spika wa bunge yupo entitled kupata matibau kwa gharama za serikali. Jibu hoja je ruzuku ndio kazi yake hiyo?
Yaani hujui ?kuwa kuna matumizi kama stationery,kununua mafuta ya gari za chama na kulipa mishahara watumishi n.kKama kweli upo fit kukichwa, eleza kazi ya ruzuku kwa vyama vya siasa ili nasi tupate nondo za kujenga hoja! Na Kama hujui, pisha kule!!!!
Mh... Hata ndege ya rais kwenda nje ya nchi lazima bunge lipange safari zake? Au kuna fungu linapitishwa na bunge kwa matumizi ya ofisi ya rais!Hujitambui,bunge ndiyo wanawakilisha wananchi,bunge lilijadili lini matumizi ya fedha za matibabu na kutuma ndege kubeba box 11,NDIYO maana watanzania yunadharaulika sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Ziko wapi dawa zilizoletwa kwa wananchi? Mbona sijasikia wagonjwa wakipatiwa?Ndugai alitibiwa kwa pesa za serikali yule ni spika. Ruzuku kinapewa chama kwa ajili ya matumizi ya chama sio matibabu ya mbunge.
Ndege ya rais ilitumika kwa matumizi ya serikali sio ya mtu binafsi.
Pamoja na matibabu ya waajiriwa wa chama, Mbowe n Lissu waniwemo! Au wao sio waajiriwa wa chama? Huna hoja, piga kimya!Yaani hujui ?kuwa kuna matumizi kama stationery,kununua mafuta ya gari za chama na kulipa mishahara watumishi n.k
Mkuu nakushauri omba wewe kazi ya u-CIAGII naona utaiweza .... huyu wa sasa kweli hafai yaonekana naye ndiyo wale wale .. pesa imeliwa yeye vitabu havionyeshi why? na pia hawa wabunge sijui wanatuzingua, kwa nini wasipeleke muswaada binafsi bungeni ili CDM irudiwe kufanyiwa mahesabu? hawa kina Lijua na wenzake hivi hawajui kundika muswaada binafsi wa kibunge? maana hela zetu zinazidi kupotea tu... maneno mingii action hakuna.Kazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule
Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?
Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini