Msajili wa vyama tusaidie: Ruzuku kazi yake kutibia Viongozi wa vyama? Mbowe rudisha milioni 400 za matibabu

Msajili wa vyama tusaidie: Ruzuku kazi yake kutibia Viongozi wa vyama? Mbowe rudisha milioni 400 za matibabu

Wamemwagwa kwenye mitandao yote ya kijamii toka mwezi April, watakuwa huku mpaka baada ya uchaguzi mkuu. Ingia mitandao yote ya kijamii wamejaa. Wengi wana matatizo ya kiuandishi, hawajali koma, nukta wala matumizi ya herufi kubwa. Agenda zao kubwa ni kumsifia Magufuli kwa nguvu zote, kuipaka mafuta NCCR kwa mgongo wa chupa, na kubwa zaidi ni kuichafua cdm hasa Mbowe, na iwapo Lissu atarudi kugombea urais, basi kundi litaongezwa zaidi mitandaoni.
Watu wakihoji matumizi mabaya ya ruzuku ya Chadema unasema wanatumiwa? Watu wakisema ukweli Ccm imetekeleza ilani yake ya uchaguzi vizuri ni kosa?
 
CCM kila mwezi inapata zaidi ya 1B kutoka serikalini kama ruzuku lakin CDM 300m kila mwezi zinapigiwa kelele, swali mbona hakuna anayehoji matumizi ya CCM zaidi ya 60B kwa miaka mitano?
 
Kazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule

Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?

Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini
Ulianza vizuri,ila umemaliza vibaya

Luckman1
 
Hicho kichwa chako naona Cha kufugia nywele tu. Haya ni madai mawili tofauti. Bl 8 ni michango aliyolazimisha wabunge wakatwe mishahara ili zitumike kuwasaidia kwenye uchaguzi. Akachikichia. Hizi mil 400 alichukua ruzuku ya chama wanayopewa mgao na serikali nahii hupewa vyama vyote vyenye wabunge. Walichikua wakaenda Nairobi eti kumtibu Lisu. Umeelewa?

Sent using Jamii Forums mobile app



Safari hii sijui mtajiteteaje/ maana Ccm hiko ICU/
 
We mbwa badala ya kumwambia msajili aandikie serikali barua wampe NABII LISSU pesa zake za matibabu unahangaikia mil400 za nini. Mbona CAG aliripoti ndugai kutumia mil800 za walipakodi eti kwa matibabu wkt sio kweli na mmekaa kimya....
Fadhira za ndugai ni kutetea uchafu wa serikali sio kutetea watz
 
Ndugai alitibiwa kwa pesa za serikali yule ni spika. Ruzuku kinapewa chama kwa ajili ya matumizi ya chama sio matibabu ya mbunge.
Ndege ya rais ilitumika kwa matumizi ya serikali sio ya mtu binafsi.
Hujitambui,bunge ndiyo wanawakilisha wananchi,bunge lilijadili lini matumizi ya fedha za matibabu na kutuma ndege kubeba box 11,NDIYO maana watanzania yunadharaulika sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ooh walioelewa naomba kueleweshwa. Ivi hapa ni milioni 400 za ruzuku kutumika kwenye matibabu , au ni cheti cha Mbowe cha form six ,au kanisa la mchungaji Peter Msigwa ,Au ni wizi wa mmagari wa Mh Lema?
 
Yule ni spika wa bunge yupo entitled kupata matibau kwa gharama za serikali. Jibu hoja je ruzuku ndio kazi yake hiyo?
Kama kweli upo fit kukichwa, eleza kazi ya ruzuku kwa vyama vya siasa ili nasi tupate nondo za kujenga hoja! Na Kama hujui, pisha kule!!!!
 
Kama kweli upo fit kukichwa, eleza kazi ya ruzuku kwa vyama vya siasa ili nasi tupate nondo za kujenga hoja! Na Kama hujui, pisha kule!!!!
Yaani hujui ?kuwa kuna matumizi kama stationery,kununua mafuta ya gari za chama na kulipa mishahara watumishi n.k
 
Hujitambui,bunge ndiyo wanawakilisha wananchi,bunge lilijadili lini matumizi ya fedha za matibabu na kutuma ndege kubeba box 11,NDIYO maana watanzania yunadharaulika sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Mh... Hata ndege ya rais kwenda nje ya nchi lazima bunge lipange safari zake? Au kuna fungu linapitishwa na bunge kwa matumizi ya ofisi ya rais!
 
Ndugai alitibiwa kwa pesa za serikali yule ni spika. Ruzuku kinapewa chama kwa ajili ya matumizi ya chama sio matibabu ya mbunge.
Ndege ya rais ilitumika kwa matumizi ya serikali sio ya mtu binafsi.
Ziko wapi dawa zilizoletwa kwa wananchi? Mbona sijasikia wagonjwa wakipatiwa?
Ndugai alifoji kuwa anakwenda kutibiwa SA na hakwenda Bali alijibanza hapo ununio na Kisha akarejesha shilingi laki mbili bado alikwenda India na kufikia hoteli ya nyota tank badala ya wodini! Kwako Hilo ni sahihi? Mbona yeye hanyooshewi kidole licha ya kutakiwa kuwa mfano kwa kuonyesha adabu ya matumizi ya fedha za serikali!
Ndio maana bunge limekuwa Kama kijiwe Cha kuuzia kangara maana yeye hana moral authority ya kuionya Wala kuishauri serikali kwani anashirikiana nayo kufisidi fedha za umma! Natamani kuiona takukuru ikimchunguza kwa ubadhirifu!
 
Yaani hujui ?kuwa kuna matumizi kama stationery,kununua mafuta ya gari za chama na kulipa mishahara watumishi n.k
Pamoja na matibabu ya waajiriwa wa chama, Mbowe n Lissu waniwemo! Au wao sio waajiriwa wa chama? Huna hoja, piga kimya!
 
Kazi ya ruzuku Ni ipi? Kutibia Viongozi wa vyama au kuwalipia faini wakifanya uhalifu? Msajili wa vyama tusaidie.Mbowe alichukua pesa za ruzuku milioni 400 kea kile kinachoitwa kumtibia Lisu.Wateuana kikundi Cha wezi watatu Mbowe,Godbless Lema na Msigwa wakaa muda mrefu Sana Nairobi wakilipwa pesa za kigeni za ruzuku ya chama kwa kile walichokiita kumuuguza Tundu Lisu Hali wakijua wazi kuwa wao sio madaktari Wala manesi.Walikuwa wakiuguza Nini? Mke wa Lisu alikuwa kule

Msajili tusaidie hili genge la watu wezi watatu walikuwa wakiuguza Nini Nairobi?

Mbowe alichukua milioni 400 kwa kinachoitwa matibabu ya Lisu.Swali Ni je hiyo ndio kazi ya Ruzuku ? Kulipia matibabu na kulipia watu wanajiita waiguzaji wakati fani ya uuguzi hawana ? Mbowe Ni form six division zero,Msigwa mchungaji wa Kanisa la mfukoni hata ukimwambia aonyeshe lilipo hawezi na Godbless Lema alikuwa mwizi wa magari.Walikuwa wanauguza nini
Mkuu nakushauri omba wewe kazi ya u-CIAGII naona utaiweza .... huyu wa sasa kweli hafai yaonekana naye ndiyo wale wale .. pesa imeliwa yeye vitabu havionyeshi why? na pia hawa wabunge sijui wanatuzingua, kwa nini wasipeleke muswaada binafsi bungeni ili CDM irudiwe kufanyiwa mahesabu? hawa kina Lijua na wenzake hivi hawajui kundika muswaada binafsi wa kibunge? maana hela zetu zinazidi kupotea tu... maneno mingii action hakuna.
 
Back
Top Bottom