Msajili wa vyama vya siasa asisite kusogeza mbele uchaguzi wa Chadema kama atapata taarifa za viashiria vya uvunjifu wa amani

Msajili wa vyama vya siasa asisite kusogeza mbele uchaguzi wa Chadema kama atapata taarifa za viashiria vya uvunjifu wa amani

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
USogezwa kwa maslahi ya Mwamba tuzamize na genge lenu sio?
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Kikubwa ni kuongeza ulinzi tu basi
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Wewe waambie nduvu zako wakukimbize hospitali, umeshafikia hatua mbaya ya matatizo ya afya ya akili.

Ukiwa mgonjwa nenda hospitali siyo kuja JF!!
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Hahahaha kweli ccm mnaomtetea mbowe safari hii mmefikiwa *****
 
Wewe waambie nduvu zako wakukimbize hospitali, umeshafikia hatua mbaya ya matatizo ya afya ya akili.

Ukiwa mgonjwa nenda hospitali siyo kuja JF!!
Nduvu ni akina nani?
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
MWANA CCM mwenzangu lini tena CHADEMA imekuwa chama chako?umehamia kwa mkopo? Mama mitano tena.
 
Baada ya kuona dalili za kimbunga cha Lissu kumkumba Ayatollah, Nkuruzinza, Mugabe, Museveni mnaomba msajili asigeze mbele uchaguzi mjipange.
 
Timu Lissu waache uhuni wa kutaka kufanya fujo- washayavulia nguo hawana namna - kura 7 zinawahusu ili next time wawe watulivu na wajifunze kutaka uongozi wa juu wa taasisi si kuchafuana.
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Baki na ushauri wako lazima Chama kibakie Kaskazini
 
Screenshot_2025-01-10-12-51-36-1.png

Mbowe thank you for your service tunaenda na Lissu Heche.
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Ya kweli hayo?Mbowe tena
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Wee ni mpumbafu sana kijana
 
Back
Top Bottom