Msajili wa vyama vya siasa asisite kusogeza mbele uchaguzi wa Chadema kama atapata taarifa za viashiria vya uvunjifu wa amani

Msajili wa vyama vya siasa asisite kusogeza mbele uchaguzi wa Chadema kama atapata taarifa za viashiria vya uvunjifu wa amani

Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Wewe si ni mwana CCM.
JINA lako linasadifu kilichomo kichwani mwako.
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Takataka
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama

Yeye amekuwa Polisi na kujua mambo kuliko Chadema wenyewe
 
Kumekuwa na tetesi za magenge ya wanasiasa wa chadema, akiwemo Mdude Nyagali kukusanya makundi ya vijana na kuyapa silaha za aina mbalimbali ili waje nazo kwenye uchaguzi mkuu wa chama changu cha chadema. Hili pia linafanywa na Heche. Taarifa zinasema wamejipanga kufanya vurugu kubwa sana nje na ndani ya ukumbi wa mkutano

Japo demokrasia ni muhimu, lakini haiwezi kuzidi umuhimu wa maisha na amani ya nchi.

Nashauri vyombo vya dola vichunguze kwa kina na kisha vimshauri Msajili wa Vyama vya siasa namna bora ya kushughulikia tahadhari ya kiusalama
Watachapwa hadi wajinyeee
 
mtoa mada utakuwa chawa wewe
 

Attachments

  • Screenshot 2024-12-04 083841.png
    Screenshot 2024-12-04 083841.png
    210.5 KB · Views: 1
hawa machoko eti yanajificha kwenye amani ya nchi yaani amani za nafsi zenu ndio mnafanya amani ya nchi hivi mnaijua maana amani ya nchi nyie yaani amani ya nchi iwe Dar tena viunga vya mlmani city kama hiyo kwenu ndio tafsiri ya amani vp kule msumbiji wasemaje.!
 
Back
Top Bottom