Tetesi: Msajili wa Vyama vya Siasa Na Prof. Lipumba Kufikishwa Mahakamani

Tetesi: Msajili wa Vyama vya Siasa Na Prof. Lipumba Kufikishwa Mahakamani

Lipumba alijiuzulu ghafla tu from nowhere anajifanya yeye mwenyekiti lazima kuna watu wapo nyuma yake wanamchochea.
 
Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu (Mb), ameteuliwa na jopo la mawakili la UKAWA, kuongoza jopo la Mawakili kuwaburuza mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa na Prof. Ibrahimu Lipumba.Wameamua kutomuita jina lake na kumpachika jina la 'BWANA YULE'
Safi sana,najua lipumba atatetewa na wakili msaliti Dr.Lamwai
 
"NITAJITOA KWENYE HUU UKAWA"Prof.Ibrahim lipumba.shujaa wa unyanyembe
 
safi ndo tutajua kama na mahakama NAyo imetiwa mfukoni ili tuanze kuadhibiana wenyewe kama haki itakosekana kwenye vyombo vyenye dhamana. asilalamike MTU tukiamua kuchukua sheria mkononi
Mbona mmeshindwa tu kuingia pale Buguruni baada ya kuwaona hao vijana kumi wa miraba minne. Sasa huko kwingine ndiyo mtaweza? Kaukuta kale mmeshindwa. Achaneni na mambo haya yasiyo na tija. Fanyeni kazi.
 
kosa lake nini wakati yeye kaleta tu taarifa humu? kwani kasema yeye ndiye atawashitaki hao wawili?
Yaani hawa watu aibu sana, na yalivyo manafiki pengine unaweza kukuta linaabudu Christian ama Islamic, kama Christian utalikuta liko mbele kabisa karibu na madhabahu, kama ni Islamic utalikuta swala tano na bonge la kanzu kumbe nafiki la kutupwa
 
Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu (Mb), ameteuliwa na jopo la mawakili la UKAWA, kuongoza jopo la Mawakili kuwaburuza mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa na Prof. Ibrahimu Lipumba.Wameamua kutomuita jina lake na kumpachika jina la 'BWANA YULE'
Naona kama chadema ndio inatawala CUF za maalim
 
Kama mgogoro ni wa CUF na mwenyekiti ni wa CUF....kwanini CDM wasiiache CUF ishughilikie migogoro yake yenyewe....ili ije kwenye meza ya UKAWA ikiwa kamili.....!!!

Kwanini CDM wamekuwa wasemaji wa CUF.....!!??

Kuna nini kinaendelea kwenye mgogoro wa CUF na CDM.....!!??
 
Kwani ile kesi ya ICC imeishia wapi? Seif alimshtaki Magufuli...IGP teh teh ICC imeishia wap??lkn juz kati akamshtaki Lippumba kwa IGP, nachanganyikiwa na hizi kesi. Ukawa wao ndio wamiliki wa CUF?

Sielewi kwani katiba ya CUF kuna neno limeandkwa ukawa?? Hv ktk usajili kuna ukawa?
 
Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu (Mb), ameteuliwa na jopo la mawakili la UKAWA, kuongoza jopo la Mawakili kuwaburuza mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa na Prof. Ibrahimu Lipumba.Wameamua kutomuita jina lake na kumpachika jina la 'BWANA YULE'
Ni njia mojawapo
 
Chadema baada ya kuuzika Ukuta wamepata kichochoro cha kujifichia.
 
bwana yule wamkatie huduma ya maji na umeme,atatoka tu kwenye shimo lake hapo buguruni,ikishindikana basi masela watafute viroba vitano vya nyuki,wale wadudu hatari,wawawekee pilipili kichaa ndani ya viroba,wavitikise hivyo viroba kama dakika tano hivi kuwatia nyuki hasira,halafu wakaviachie ndani ya jengo alilojificha prof,atatoka tu,na hao wenye silaha za jadi watazitupa bila tatizo,nyuki hawana mchezo bhana,na nyuki wakishakutambua hawakuachii,watakumbiza hata uende wapi,ukiingia kwenye maji,wao wanabaki juu wanazengea,ukitoa jicho uchungulie kama bado wapo(kama anavyopenda kufanya bwana yule)wanakudunga,unarudi majini,lazima uelewe somo tu hata kama umezaliwa tabora

ea8ea6d375d570c449dc39dea73b6bc7.jpg
kama osama
 
Kama mgogoro ni wa CUF na mwenyekiti ni wa CUF....kwanini CDM wasiiache CUF ishughilikie migogoro yake yenyewe....ili ije kwenye meza ya UKAWA ikiwa kamili.....!!!

Kwanini CDM wamekuwa wasemaji wa CUF.....!!??

Kuna nini kinaendelea kwenye mgogoro wa CUF na CDM.....!!??

Lipumba akiendelea kua mwenyekiti wa CUF ni threat kwa UKAWA. Hakubaliani na Lowasa ndani ya UKAWA, anatetea maslahi ya CUF ndani ya UKAWA. Pia ukumbuke mpaka sasa UKAWA tayari wana mgombea uraisi 2020 ambaye Lipumba hakubaliani naye. CHADEMA lazima wapigane kufa na kupona Lipumba asiwe mwenyekiti kwa madai hayo anaweza akaiondoa CUF katika UKAWA
 
Mbona mnapaparika?mara mwenye jengo anataka jengo lake,mara sefu kuingia ofisini na wabunge na mameya lakini siku zinaenda tu
Chadema Mtahangaika sana tu,wenzenu wanaegemea katiba ya cuf tu.Lipumba bado mwenyekiti
Katiba ya CUF uliyonayo wewe CCM na bwana yule tu. Katiba halisi ya CUF imemfukuza bwana yule uanachama
 
Lipumba akiendelea kua mwenyekiti wa CUF ni threat kwa UKAWA. Hakubaliani na Lowasa ndani ya UKAWA, anatetea maslahi ya CUF ndani ya UKAWA. Pia ukumbuke mpaka sasa UKAWA tayari wana mgombea uraisi 2020 ambaye Lipumba hakubaliani naye. CHADEMA lazima wapigane kufa na kupona Lipumba asiwe mwenyekiti kwa madai hayo anaweza akaiondoa CUF katika UKAWA

Asante kwa kunipa mwanga....sasa naweza kuona maana ya sarakasi za CDM dhidi ya kinachoendelea CUF.....
 
Masikini cuf inaangamizwa bila viongoz wake kujua hii njama ya cdm kujipenyeza cuf kupitia ukawa na misunderstanding kat ya viongoz wa cuf itaipoteza vibaya cuf ndani ya jamii
 
Back
Top Bottom