rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,444
Kumbe hujapona!Asante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hujapona!Asante
Na hata akijiuzulu bado bado anaweza kurudi baada ya mwaka akasema ametengua kujiuzulu kwake, hata kama kipindi amejiuzulu alikwishateuliwa mwengine kushika nafasi yakeBongo kujiuzulu ni ndoto hata kama atakutwa na hatia
Sina taabu kabisa. Endeleeni kushughulikia hiyo migogoro tu. Nawatakia kila la kheri.Wacha kutoa Povu Mkuu.
Nyie issues za CDM,CUF mko Mstari wa mbele kuzisema tena na Povu na Mikia Juu.
Leo CDM wakisema kuhusu CUF una Mamlaka gan ya kuwazuia ?
Mimi si wale wa vibahashaKumbe hujapona!
mwaka umekatika,tumebaki na mi4,tunabwaya bwaya Mara mda umeisha,uchaguzi huu,n sheedahNchi ya ahadi matukio hayakatiki magazeti yanauza sio kidogo
Kwani ameiba au anaburuzwa kwa mashauri ya madaiKwa jinsi ambavyo tumeona vyama washirika vya UKAWA kuamua kumbruza mahakamani msajili wa vyama vya siasa kwa kile kinachodaiwa kumbeba kimaamuzi aliyekua mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba, hiki ni kitendo cha aibu sana kwa mtu wa hadhi ya msajili wa vyama vya siasa, hii hali itaifanya Ofisi yake kutokuaminiwa tena na wananchi.
Hii inawezekana kabisa hata kuna viashiria vya rushwa ndani yake. Kutokuaminiwa kwa Ofisi ya msajili kama mlezi wa vyama vya siasa tayari kunahisiwa kua msajili ana maslahi binafsi na baadhi ya maamuzi kitu ambacho kinampelekea kukosa sifa dhabiti za kukalia kiti hicho.
Tayari anachukuliwa kama mtu asiyeweza kutoa maamuzi kwa Misingi ya haki. Hivyo ikitokea akashindwa kesi inabidi ajiuzulu nafasi yake kwa lazima maana atakua amedhihirisha kua ana tatizo.
Nchi hii tumeanza kupoteza heshima ya Uprofesa sa huyu naye analetea dharau ujaji.Mutungi ameufanya ujaji uonekane ni jambo la mchezo-mchezo
Kwa jinsi ambavyo tumeona vyama washirika vya UKAWA kuamua kumbruza mahakamani msajili wa vyama vya siasa kwa kile kinachodaiwa kumbeba kimaamuzi aliyekua mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba, hiki ni kitendo cha aibu sana kwa mtu wa hadhi ya msajili wa vyama vya siasa, hii hali itaifanya Ofisi yake kutokuaminiwa tena na wananchi.
Hii inawezekana kabisa hata kuna viashiria vya rushwa ndani yake. Kutokuaminiwa kwa Ofisi ya msajili kama mlezi wa vyama vya siasa tayari kunahisiwa kua msajili ana maslahi binafsi na baadhi ya maamuzi kitu ambacho kinampelekea kukosa sifa dhabiti za kukalia kiti hicho.
Tayari anachukuliwa kama mtu asiyeweza kutoa maamuzi kwa Misingi ya haki. Hivyo ikitokea akashindwa kesi inabidi ajiuzulu nafasi yake kwa lazima maana atakua amedhihirisha kua ana tatizo.
Toka lini jaji kupelekwa mahakamaniKwa jinsi ambavyo tumeona vyama washirika vya UKAWA kuamua kumbruza mahakamani msajili wa vyama vya siasa kwa kile kinachodaiwa kumbeba kimaamuzi aliyekua mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba, hiki ni kitendo cha aibu sana kwa mtu wa hadhi ya msajili wa vyama vya siasa, hii hali itaifanya Ofisi yake kutokuaminiwa tena na wananchi.
Hii inawezekana kabisa hata kuna viashiria vya rushwa ndani yake. Kutokuaminiwa kwa Ofisi ya msajili kama mlezi wa vyama vya siasa tayari kunahisiwa kua msajili ana maslahi binafsi na baadhi ya maamuzi kitu ambacho kinampelekea kukosa sifa dhabiti za kukalia kiti hicho.
Tayari anachukuliwa kama mtu asiyeweza kutoa maamuzi kwa Misingi ya haki. Hivyo ikitokea akashindwa kesi inabidi ajiuzulu nafasi yake kwa lazima maana atakua amedhihirisha kua ana tatizo.
Nchi hii tumeanza kupoteza heshima ya Uprofesa sa huyu naye analetea dharau ujaji.
Sasa kila kitu tulichokuwa tunaheshimu kinapoteza heshima. Hata PhD nazo tunaanza kuwa na mashaka nazo
Unamburuza Jaji mahakamani unategemea nini. Hahahahahahahah. Mnafurahisha. Au mnadhani mwenzenu wa mtaani huyo. Amepata ujaji hata mawakili wwngine walikuwa hawajaziliwa. Unategemea niniKwa jinsi ambavyo tumeona vyama washirika vya UKAWA kuamua kumbruza mahakamani msajili wa vyama vya siasa kwa kile kinachodaiwa kumbeba kimaamuzi aliyekua mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba, hiki ni kitendo cha aibu sana kwa mtu wa hadhi ya msajili wa vyama vya siasa, hii hali itaifanya Ofisi yake kutokuaminiwa tena na wananchi.
Hii inawezekana kabisa hata kuna viashiria vya rushwa ndani yake. Kutokuaminiwa kwa Ofisi ya msajili kama mlezi wa vyama vya siasa tayari kunahisiwa kua msajili ana maslahi binafsi na baadhi ya maamuzi kitu ambacho kinampelekea kukosa sifa dhabiti za kukalia kiti hicho.
Tayari anachukuliwa kama mtu asiyeweza kutoa maamuzi kwa Misingi ya haki. Hivyo ikitokea akashindwa kesi inabidi ajiuzulu nafasi yake kwa lazima maana atakua amedhihirisha kua ana tatizo.
KARIBU SANA JF RAFIKIHafai hata kidogo au pengine anamaelekezo
mwaka umekatika,tumebaki na mi4,tunabwaya bwaya Mara mda umeisha,uchaguzi huu,n sheedah