Tetesi: Msajili wa Vyama vya Siasa Na Prof. Lipumba Kufikishwa Mahakamani

Tetesi: Msajili wa Vyama vya Siasa Na Prof. Lipumba Kufikishwa Mahakamani

Chadema ya siku hizi imejaza mazuzu kweli!! Yanatafuta namna ya kula hela za ruzuku bila sababu tu. Sasa hapo wanaenda mahakamani kwa kesi ipi? CUF ni chama, tena chenye katiba yake! Lissu na chadema ni nani hadi aende mahakamani kwa mambo ya ndani ya chama kingine.!?
 
Kwa jinsi ambavyo tumeona vyama washirika vya UKAWA kuamua kumbruza mahakamani msajili wa vyama vya siasa kwa kile kinachodaiwa kumbeba kimaamuzi aliyekua mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba, hiki ni kitendo cha aibu sana kwa mtu wa hadhi ya msajili wa vyama vya siasa, hii hali itaifanya Ofisi yake kutokuaminiwa tena na wananchi.

Hii inawezekana kabisa hata kuna viashiria vya rushwa ndani yake. Kutokuaminiwa kwa Ofisi ya msajili kama mlezi wa vyama vya siasa tayari kunahisiwa kua msajili ana maslahi binafsi na baadhi ya maamuzi kitu ambacho kinampelekea kukosa sifa dhabiti za kukalia kiti hicho.

Tayari anachukuliwa kama mtu asiyeweza kutoa maamuzi kwa Misingi ya haki. Hivyo ikitokea akashindwa kesi inabidi ajiuzulu nafasi yake kwa lazima maana atakua amedhihirisha kua ana tatizo.
 
Ningeshangaa Kama maccm yangepongeza kitendo cha cuf kwenda mahakamani ukizingatia uzito wa BARUA waliyomwandikia jaji mutungi
 
Endeleeni hivyo hvyo. 2020 sio mbali. Mtalizwa tena.
Wacha kutoa Povu Mkuu.
Nyie issues za CDM,CUF mko Mstari wa mbele kuzisema tena na Povu na Mikia Juu.
Leo CDM wakisema kuhusu CUF una Mamlaka gan ya kuwazuia ?
 
upload_2016-10-2_19-13-35.png

Bwana yule amerudi Analia eeeeee
 
Ndiyo tatizo la kuacha kufuata taratibu za kazi zake na kumsikiliza mtakatifu wa Ikulu katika nia yake ya kuvisambaratisha vyama vya upinzani.

Kwa jinsi ambavyo tumeona vyama washirika vya UKAWA kuamua kumbruza mahakamani msajili wa vyama vya siasa kwa kile kinachodaiwa kumbeba kimaamuzi aliyekua mwenyekiti wa CUF Prof Ibrahim Lipumba, hiki ni kitendo cha aibu sana kwa mtu wa hadhi ya msajili wa vyama vya siasa, hii hali itaifanya Ofisi yake kutokuaminiwa tena na wananchi.


Hii inawezekana kabisa hata kuna viashiria vya rushwa ndani yake. Kutokuaminiwa kwa Ofisi ya msajili kama mlezi wa vyama vya siasa tayari kunahisiwa kua msajili ana maslahi binafsi na baadhi ya maamuzi kitu ambacho kinampelekea kukosa sifa dhabiti za kukalia kiti hicho.

Tayari anachukuliwa kama mtu asiyeweza kutoa maamuzi kwa Misingi ya haki. Hivyo ikitokea akashindwa kesi inabidi ajiuzulu nafasi yake kwa lazima maana atakua amedhihirisha kua ana tatizo.
 
Mahakamani ni sehemu ya kupata haki.......hivyo hakuna aibu wala soni.....ni wajibu wa kutaka haki kutendeka.


Kumbukuka baadhi ya nchi Rais aliyechaguliwa hupelekwa mahakamani au bungeni kushtakiwa....tumeona Uganda, Brazil na hata Kenya au S afrika.

Sembuse msajili wa vyama.
 
Mahakama ndo itatoa haki. Haki ya mtu haipotei kama maamuzi yake yapo ndani ya sheria
 
Hizi saccos za ccm hazina Tija kabisa ndiyo iwe mwisho wa kutumika vibaya.
 
Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu (Mb), ameteuliwa na jopo la mawakili la UKAWA, kuongoza jopo la Mawakili kuwaburuza mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa na Prof. Ibrahimu Lipumba.Wameamua kutomuita jina lake na kumpachika jina la 'BWANA YULE'
Bwana yule??????????
 
Mwanasheria wa CHADEMA Tundu Lissu (Mb), ameteuliwa na jopo la mawakili la UKAWA, kuongoza jopo la Mawakili kuwaburuza mahakamani Msajili wa Vyama vya Siasa na Prof. Ibrahimu Lipumba.Wameamua kutomuita jina lake na kumpachika jina la 'BWANA YULE'
Umetumwa?
 
Back
Top Bottom