Msajili wa Vyama vya Siasa: Nitavifuta CHADEMA na CUF

Msajili wa Vyama vya Siasa: Nitavifuta CHADEMA na CUF

Kauli zingine viongozi wetu huwa wanazitoa kurubuni watu wasio na uelewa wa kisheria.
 
msajili amedai wote watakao kiuka kuvunja vikundi binafsi vya ulinzi vya vyama hivo atavifuta. amedai km katiba zao zinatambua jambo hilo walifanyie mabadiliko haraka. tamko hill limetolewa kwaushirikiano wa igp Mangu kwa niaba ya jeshi la polisi na ofisi ya msajili.
my take
niwazi kwa ubishi wa chadema bila shaka kitafutwa katika medani za siasa

chanzo.RFA magazeti

Ha ha ha ha uchaguzi umekaribia ngonjera za msajiri nazo zimeanza kusikika.

Lengo lote ni kujaribu kuirudishia uzima CCM ambayo iko taabani kama mgonjwa aliye chomwa nusu kaputi.
 
Hawa wamekula viazi vikavu et waifute CHADEMA! Hahaaaa maccm majinga kweli!
 
msajili amedai wote watakao kiuka kuvunja vikundi binafsi vya ulinzi vya vyama hivo atavifuta. amedai km katiba zao zinatambua jambo hilo walifanyie mabadiliko haraka. tamko hill limetolewa kwaushirikiano wa igp Mangu kwa niaba ya jeshi la polisi na ofisi ya msajili.
my take
niwazi kwa ubishi wa chadema bila shaka kitafutwa katika medani za siasa

chanzo.RFA magazeti

Huyu Msajili anaota Mchana pamoja na IGP
 
Mkuu huu ni uongo usiokua na maana!Hizo habari si za kweli ni kujaribu kupotosha kauli sahihi aliyoitamka msajili.Fuatili kwa makini na uisome habari hiyo uone jinsi ambavyo vyombo vyetu vya habari vinatumika, Waandishi wamekua makanjanja kuhangaikia matumbo yao tu.Jana siku ya Alhamisi nilisikiliza mwenyewe kwa masikio yangu kauli aliyoitoa msajili kupitia redio ya VOA alichokisema,Alichokisema ni kwamba ni halali kikatiba kua na vikundi vya ulinzi katika vyama lakini visiwe na mwelekeo wa kuunda jeshi,akamalizia na kusema kua vyama vyenyewe vikae na kupitia katiba za vyama vyao na visivuke mipaka ya kikatiba.Sikusikia popote akisema kua atavifuta vyama tusipende kukuza mambo kumsingizia msajili.
Huyu Mangu ndiyo alilopoka kuwa atavifuta.
 
Tatizo ni ccm kukosa vijana wenye nguvu na ari kiasi kwamba interahamwe wamezidiwa bali sana na red brigade. Ccm inaona kama red brigade intaendelea kuwepo, hawatathubutu kuchakachua kura ama kutishia, kuteka ama kunyanyasa wafuasi wa CHADEMA kwenye uchaguzi na baada ya uchaguzi.

Ninaushauri wangu nitam pm. Tumaini Makene awashauri viongozi, bado inakula kwa ccm na matawi yake.





Kitengo kingine cha Maintarahamwe AKA MACCM kikitumika vizuri kuelekea kwenye kura ya maoni na uchaguzi Mkuu. Kati ya CHADEMA na Mainterahamwe sijui ni yupi alianza kuwa na vikundi binafsi vya ulinzi.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Huyu MTU huenda anaugua. Vinginevyo anaota ndoto za alasili kala maharage Yake yanamsumbua. Hajui nchi sasa imeshamwagiwa petrol inasubili Mpita Njia na kibiriti chake.
 
  • Thanks
Reactions: 999
Hiki chama kinachotumia watoto kushika bunduki hakifai kufutwa?
 

Attachments

  • 1429851763614.jpg
    1429851763614.jpg
    47.3 KB · Views: 214
Mutungi waambie kijani waongeze kipengele cha hawa wahuni kwenye katiba yao
 

Attachments

  • 1429852254697.jpg
    1429852254697.jpg
    11.1 KB · Views: 305
aanze ccm kuvunja ndipo chadema atavunja
:rockon::rockon::rockon::rockon::rockon::rockon:
 
Mkuu huu ni uongo usiokua na maana!Hizo habari si za kweli ni kujaribu kupotosha kauli sahihi aliyoitamka msajili.Fuatili kwa makini na uisome habari hiyo uone jinsi ambavyo vyombo vyetu vya habari vinatumika, Waandishi wamekua makanjanja kuhangaikia matumbo yao tu.Jana siku ya Alhamisi nilisikiliza mwenyewe kwa masikio yangu kauli aliyoitoa msajili kupitia redio ya VOA alichokisema,Alichokisema ni kwamba ni halali kikatiba kua na vikundi vya ulinzi katika vyama lakini visiwe na mwelekeo wa kuunda jeshi,akamalizia na kusema kua vyama vyenyewe vikae na kupitia katiba za vyama vyao na visivuke mipaka ya kikatiba.Sikusikia popote akisema kua atavifuta vyama tusipende kukuza mambo kumsingizia msajili.
Msajili ni Jaji anajua kauli ya kutamka. Magazeti yanacheza na akili za watu...
 
Mkuu huu ni uongo usiokua na maana!Hizo habari si za kweli ni kujaribu kupotosha kauli sahihi aliyoitamka msajili.Fuatili kwa makini na uisome habari hiyo uone jinsi ambavyo vyombo vyetu vya habari vinatumika, Waandishi wamekua makanjanja kuhangaikia matumbo yao tu.Jana siku ya Alhamisi nilisikiliza mwenyewe kwa masikio yangu kauli aliyoitoa msajili kupitia redio ya VOA alichokisema,Alichokisema ni kwamba ni halali kikatiba kua na vikundi vya ulinzi katika vyama lakini visiwe na mwelekeo wa kuunda jeshi,akamalizia na kusema kua vyama vyenyewe vikae na kupitia katiba za vyama vyao na visivuke mipaka ya kikatiba.Sikusikia popote akisema kua atavifuta vyama tusipende kukuza mambo kumsingizia msajili.

Mkuu siku zote huyu Ashasidiria ni mzushi na mnaa tu. Threads zote anazoanzisha ni uzushi na unaa tu.
 
Msajili kasema vyama vya siasa, ccm.ikiwa ndani yake, saaaafi msajili hivi ni Kutengeneza vijikundi vya ugaidi, futilia mbali
 
Sababu huwa wanatumika kulinda kura wamekuta watashindwa kuiba!mnatapatapa tu.
 
Huyo Mutungi arejee kauli za waliomtangulia kwenye hiyo nafasi kama Tendwa. Tatizo kubwa la watu kama akina Mutungi ni kuwa hizo nafasi wanapewa kama fadhila kwa ajili ya kutumikia na kulinda masilahi ya wale waliowateua. Ingekuwa hizo nafasi zinashindaniwa kwa kuangalia sifa, uwezo na weledi wa mtu kamwe tusingekuwa tunasikia kauli za kijinga na zilizokosa mashiko kutoka kwao kama tunavyoshuhudia sasa.

Kama ni kutenda kwa weledi angeanza na CCM wanaoendesha GREEN GUARD ambayo hata kwenye KATIBA YA CHAMA HICHO haijatajwa hivyo kuendeshwa kinyume cha sharia na utaratibu uliotumiwa kuanzisha chama hicho.
 
Hayo ndio maajabu ya msajiri. Katiba zote anazipitisha yeye sasa anauliza nini? This means anajua kwamba katiba zao zina accomodate kitu hicho ndio maana anasema wafanye marekebisho.
Hivi yeye kama msajiri si anajua process za kurekebisha katiba? Anataka warekebishe kisirisiri? Je atawapa gharama za kuitisha vikao vya kurekebisha katiba?

Kama katiba zao zina accomodate kitu ambacho kina kwenda kimyume na katiba ya nchi na yeye ndiye alizipitisha nani wa kuwajibika zaidi yake?

Plus, vipi kuhusu green guard ambao hata katiba ya ccm haitambui uwepo wao? Kwa nini isifutwe kwanza maana haipo kikatiba, kabla ya kutaka katiba za vyama vingine zifanyiwe marekebisho?
 
Msajili naye anazingua, ngoja Lissu ampe za uso atanywea Jaka Jaka la Kibisa
 
Dar es Salaam. Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama kurekebisha katiba zao kwenye kipengele kinachoruhusu kuanzishwa kwa vikosi vya ulinzi na usalama.

Vyama vyenye vikosi cha ulinzi na usalama ni Chadema chenye Red Brigade, CCM (Green Guard), CUF (Blue Guard) na sasa ACT-Wazalendo (ACT Amani).

Mutungi alisema uanzishwaji wa vikundi hivyo unakwenda kinyume na Katiba ya nchi inayolipa jeshi la polisi mamlaka ya kulinda usalama wa raia na mali zao.

Akizungumza baada ya mkutano wake na vyama hivyo jana, Jaji Mutungi alisema katiba za vyama vingi vilivyosajiliwa kabla hajaingia ofisini vilikuwa na kifungu kinachoruhusu kuanzishwa kwa vikosi vya ulinzi na usalama wa mali za chama au viongozi wao wawapo katika mikutano.

“Haturuhusu kifungu hicho kuwapo kwenye katiba za vyama vinavyosajiliwa sasa (hakugusia ACT - Wazalendo). Hatuvifundishi vyama vya siasa namna ya kuandaa katiba zao lakini tunasimamia kifungu hiki kwa vile kinapingana na sheria.”

Jaji Mutungi alisisitiza kuwa vyama vya siasa nchini havina uelewa wa sheria ya vyama vya siasa ambayo ndiyo inayovisimamia, ndiyo maana vinashindwa kuendesha shughuli zao kwa mujibu wa sheria hiyo




Chanzo: Gazeti la Mwananchi
 
Back
Top Bottom