Msaki anayemiliki mjengo wa Kibo Complex anaweza akawa kwenye top 10 ya matajiri weusi Tanzania

Msaki anayemiliki mjengo wa Kibo Complex anaweza akawa kwenye top 10 ya matajiri weusi Tanzania

Ule mjengo wa Kibo Complex dooh si mchezo, shule ya Wazo Hill, wakala wa cement etc nahisi jamaa biashara zake zinaingiza hata bilioni 1 kwa mwezi hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.

Halafu nasikia alipataga Div. 0 Form Six, maisha haya.
Safi sana Mangi,shemeji zangu huwa hawafanyi makosa kabisa,kimbizeni mpaka nchi iwatambue
 
Alikutapeli nini? Mbona sijawah hata sikia kesi yake hata ya kusingizia? Ninachojua ni smart kwenye kazi na ukiharibu kazi yake hata buti utapigwa. Sema lingine.
Ni hii familia ya kina Victor Msaki amaa??
 
Sasa Zero hapa Inahusiana na nn mzee...fanya kazi kwa Bidii...Kwenye Top 10 sijui mana sisi watz hatupendi Manufacturing ambayo ndio inatoa mzunguko mkubwa zaidi ...Watz wajifunze kujenga Viwanda.

Tukiwa na Viwanda mzunguko utakua mkubwa zaidi..kwasasa tunafanya biashara ya kununua na kuuza zaidi (Trading).

lakin hatujaamka tujenge viwanda vingi tutengeneze bidhaa nzuri
Ni kweli mabilionea wakubwa Tanzania ni wenye viwanda mfano Azam,Mohamed Dewji
 
Achaneni Maisha ya watu mara cha Mama mkapa mara cha Mafisadi mtaishia kuwa masikini Mlo moja unakushinda unaanza kuangalia Maisha ya watu. Siri kubwa ya Masikini ni wivu, Majungu, na chuki.
 
Back
Top Bottom