JUAN MANUEL
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 7,808
- 16,972
Safi sana Mangi,shemeji zangu huwa hawafanyi makosa kabisa,kimbizeni mpaka nchi iwatambueUle mjengo wa Kibo Complex dooh si mchezo, shule ya Wazo Hill, wakala wa cement etc nahisi jamaa biashara zake zinaingiza hata bilioni 1 kwa mwezi hata kama kajenga kwa kuchukua mkopo benki, jamaa ana mafanikio sana.
Halafu nasikia alipataga Div. 0 Form Six, maisha haya.
Yawezekana ana vitega uchumi vingine.Top ten halafu unazungumzia 1b kwa mwezi.(12b kwa mwaka)? Kama ndio hesabu yake hio haingii kabisa kwenye top 10.
Ni hii familia ya kina Victor Msaki amaa??Alikutapeli nini? Mbona sijawah hata sikia kesi yake hata ya kusingizia? Ninachojua ni smart kwenye kazi na ukiharibu kazi yake hata buti utapigwa. Sema lingine.
Ni kweli mabilionea wakubwa Tanzania ni wenye viwanda mfano Azam,Mohamed DewjiSasa Zero hapa Inahusiana na nn mzee...fanya kazi kwa Bidii...Kwenye Top 10 sijui mana sisi watz hatupendi Manufacturing ambayo ndio inatoa mzunguko mkubwa zaidi ...Watz wajifunze kujenga Viwanda.
Tukiwa na Viwanda mzunguko utakua mkubwa zaidi..kwasasa tunafanya biashara ya kununua na kuuza zaidi (Trading).
lakin hatujaamka tujenge viwanda vingi tutengeneze bidhaa nzuri
Una ushahidiMsaki ni tapeli maarufu
Hili linatosha mkuu,huwezi kuwa na majina mapya kila siku."Conscious"
Badili na hilo kabisa, Controla to Conscious.