Kungarochi
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 271
- 601
Hujajibu hoja ulichofanya ni kutoa lawama tu zidi ya mwendazakePoleni sana, leo ndio ameamua kuwapa za uso sukuma gang!!hayo mamiradi lukuki yaliyoanzishwa kwa kukurupuka pesa zake za kuyaendeleza ujenzi zinatoka wapi?eti trilioni 10 kwa madawati!!huyo shujaa wenu aliyekuwa anasema hakopi , ila daa mungu fundi sana, kwani ametuepushia mengi!!
Leo sasa ndio ametangaza vita ni vita mula, kama mlimtuma Ndugai ujumbe mmeupata.
una hasira na sukuma gan walikuchukulia mkeo nn?Hahaaaa!!!hilo haliwezekani kamwe kwa siasa za kiafrika!!kwanza kwa michambo hiyo wote walio nyuma ya Ndugai wamesha kula kona!!na leo sasa ndio ametangaza kiama baina yake na sukuma gang!!ila Mungu anatisha kweli Ndugai wa mwaka mmoja tu uliopita alivyokuwa anawafanyia wenzake leo ni ya kumkuta haya?!!
Kuna tofauti baina ya kuunga mkono hoja na kumwuunga mkono mtu.
Ushauri wa bure kwenu Makamanda na wanamageuzi watukuka
Tuna agenda za kudumu lakini si marafiki wala maadui:
CHADEMA: Kujipanga kwa Ukombozi hakuna Ukomo
Si bora hata wangenichukulia mke, kuliko kwa mateso waliyoyasababisha kwa WA TZ? na ndio maana kwa sasa yanayowakuta mnalia ki vyenu tu, lakini asilimia kubwa ni kicheko tu!!kulia ni kupokezana!!unaona kinachomkuta aliye kuwa mkuu wenu wa protokali za kihuni kanda ya kaskazini(SABAYA), sasa hivi amebakia pekee yake anajuta!!una hasira na sukuma gan walikuchukulia mkeo nn?
Kama mwenye hoja kaenda kuomba msamaha kwa hoja yake, sisi ni nani?
Sina hakika kama umeisoma mada. Agenda zetu ni za kudumu.
Ndiyo maana hakuna taabu na awaye yote kuchukua msimamo wowote wakati wowote.
Siyo hivyo mjomba?
Akivunja bunge na yeye anajivunja kwasababu ni sehemu ya bunge. Hivyo naye atapaswa kuingia ktk mchakato wa kuwa mgombea kupitia chama chake, akipata then kitaa kutafuta kura kwa wananchi.Mama kama vipi avunje bunge aitishe uchaguzi mkuu upya, inaonekana kuna changamoto na misuguano ya ndani kwa ndani, mihimili ya sirikali kila mmoja unavutia upande wake, sio nzuri hata kidogo kwa maendeleo ya nchi.
Njia sahihi ni kwa mama kuchuja wabunge ambao ataenda nao sawa , sukuma gang watamchelewesha mama.
Hakuna hata mia mbovu iliyoenda kwenye miradi ya kimkakati, zote zimeenda kwenye mambo ya kijamii Zanzibar na kwenye madarsa na madawati. Hata zile za Covid 19 nasikia zimeenda kwenye madarasa na madawati. Hata hizi tozo za kila mwezi Bilioni 100 tunakamuliwa nasikia ni za madawati na madarsa na Zahanati. Miradi ya kimkakati mfano kama SGR na Rufiji hazipata hata mia toka kwenye hiyo mikopo, hivi tunaakili timamu kweli sisi?!Sasa miradi yote hiyo kila sehemu tena ya pesa nyingi ingelipwaje?
Upandishaji vyeo na kulipa watu stahiki zao kumekaaje? Mei mosi inakuja mtataka nyongeza za mishahara pesa itoke wapi?
Samahani Mkuu huwa unafuatilia hata taarifa za habari?Hakuna hata mia mbovu iliyoenda kwenye miradi ya kimkakati, zote zimeenda kwenye mambo ya kijamii Zanzibar na kwenye madarsa na madawati. Hata zile za Covid 19 nasikia zimeenda kwenye madarasa na madawati. Hata hizi tozo za kila mwezi Bilioni 100 tunakamuliwa nasikia ni za madawati na madarsa na Zahanati. Miradi ya kimkakati mfano kama SGR na Rufiji hazipata hata mia toka kwenye hiyo mikopo, hivi tunaakili timamu kweli sisi?!
Weka source ya taarifa unayosema umeiona wewe na tuone nini inasemaSamahani Mkuu huwa unafuatilia hata taarifa za habari?
Haiwezekani mtu anakopa trillion 10 mdani ya miezi 9 kwa ajili ya madawati halafu tukachekeana chekeana hapa, siku ya kupigwa mnada tutakuja kutafutana humu, Ndugai aliliona hili mapema!Mnamuongezea hasira maza
Hakupaswa kuomba msamaha, maana ni kweli kwa speed hii ya ukopaji kwa ajili ya mambo ya ajabu ajabu itasabisha tupigwe mnada, kasema ukweli!!Tulishajiunga na Lowassa, Nyalandu nk, leo wako wapi na wanasimamia nini? Huyo spika kazungumza kitu cha kweli, lakini hofu ya mlo imemfanya aombe msamaha. Hapo kuna wakumsupport kweli?
Ameomba msamaha haya mambo yaishe tusonge mbele, Ndugai aliliona hili mapema!
amtoe spika na akigoma avunje Bunge, hamna kitakochotokeaAvunje bunge? Kwani urais hautaki? Mbona ataishia kakipindi alichokwisha tawala?
Risk hiyo hawezi kuichukua.
Ni kweli kabisa, lakini kwenye hizo ajenda zetu ni kosa kuchangamana na wahuni maana wataishia kutuvuruga. Kama hizo ajenda zetu wahuni wanaona zinawalipa, wazipiganie kimpango wao, na sio kuchanganya kenge kwenye msafara wa mamba.
amtoe spika na akigoma avunje Bunge, hamna kitakochotokea
Nchi karibia ya 98% duniani Bunge huwa linavunjwa na Rais anaendelea
lkn huwezi Mtoa Rais na Bunge likabaki eti litawale
Kwa Tanzania hakuna Chama upinzani kitakachoweza ingiza mguu hapo hata hao CHADEMA wanaokuja na issue ya Katiba mpya hawataweza msimamisha mgombea Urais atakayeshindana na Mama
Sanasana ni fikra za mfumo dume wa kumdarau Rais
Kufanya purging ya kuwaondoa viongozi waandamizi na hata kushinikiza kumwondoa kiongozi wa mhimili unaweza kuleta destabilization ambayo inaweza kuwa loophole kwa bakabaka kuingilia mtanange na hapo ndo mtajua hamjui............