TANZIA Msanii Albert Mangwea afariki dunia

Sizani kama ni sembe coz' Kinje alikuwa anaongea Clouds/amplifier na kwa mujibu wa Kinje ni kwamba kuna mshikaji mmoja ambae alikuwa na Ngwair, naye yupo mahututi hosptalini.....so, labda some sort of poisoning!
 
Duh leo nimesikia ule wimbo wa nipeni dili masela "nataka nilale masikini niamke tajiri"!

Halafu huyo M to the P ni nani?huyo kweli alienda kupiga show kweli?hata bongo tu hajulikani

Kuna vijana lazma wapate fundisho kwenye hili

R.I.P

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
R.I.P mangwea!!!
 

Attachments

  • uploadfromtaptalk1369765686175.jpg
    48.4 KB · Views: 175
Kwakweli kuna jamaa wa karibu kaniambia pia jamaa walikuwa wanapelekaga mzigo South...naona walikuwa wanajisaidia humohumo........Sad

Yawezekana maana taarifa ambazo bado kudhibitishwa zinadai kuwa mwenzake amekutwa yuko hoi kwenye chumba ambacho kinadaiwa jamaa amekutwa amefariki. Waiting for official confirmation.

Sijui kama watu na hasa wanaoendesha hii fani ya muziki watajifunza hapo, maana kwa mwanamuziki aliyekuwa popular kama huyu kuishia namna hii ni mbaya.

We have plenty of them out there, but they don't have money in the bank though ni maarufu sana kwenye luninga, radio, n.k
 

"Waheshimu Baba yako na Mama yako upate kuhesabiwa siku nyingi katika nchi upewayo na Bwana Mungu wako" r.i.p
 
Sizani kama ni sembe coz' Kinje alikuwa anaongea Clouds/amplifier na kwa mujibu wa Kinje ni kwamba kuna mshikaji mmoja ambae alikuwa na Ngwair, naye yupo mahututi hosptalini.....so, labda some sort of poisoning!

When it comes to investiagtion hasa juu ya kifo cha mtu never rule out anything.

BTW, kwani sembe siyo "some sort of poisoning"?
 
Nilianza kumkubali kwenye wimbo wake wa dakika 1, nayakumbuka sana haya maneno "Naomba unipe japo dakika moja tu, ya kuongea mimi na wee". R. I. P Ngwea aka mzee wa Dom.

''nataka nikweleze kiasi gan ambacho mi nataka kuongea mm nawe''..hii nyimbo nilkuwa naipenda sana...r.i.p. ngwea
 
Daaa... Siamini broda Ngwea umetuacha, nikikumbuka enzi za Dom Sec kule kitintale tukipiga sambi aaaah jaman kwel kaz ya MUNGU haina makosa. R.I.P Broda Ngwea kwan sote njia moja.

Sent from my BlackBerry 9360 using JamiiForums
 
Albert Mangweha is no more according to PekuaTz
Ulazwe panapostahili Buddy. Nitakukumbuka kwa kutegea shule na safari nyingi sana za Sudani kipindi kile tukiwa Complex aka University of Dodoma. Na mitaa ya kule chamber squad.
Duniani wapitaji ni vema tujiandae!

Full from that site:


TAARIFA ILIYOTUFIJIA HIVI PUNDE,INAELEZA KUWA MSANII WA MUZIKI WA BONGO FLEVA,ALBERT MANGWEA (PICHANI) AMEFARIKI DUNIA HUKO NCHINI AFRIKA YA KUSINI.


CHANZO CHA KIFO CHA MSANII HUYO BADO HAKIJAFAHAMIKA.

GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUFUATILIA TUKIO HILO LA KIFO CHA MANGWEA NA TAARIFA KAMILI ITAKUJA BAADAE .
 
RIP aka Mimi, he was one of the very best rappers Tanzania have ever produced.

Nawasihi vijana wabadilike, kuigaiga baadhi ya mambo ili waonekane ni wa mjini kuna madhala. Vijana wengi wanakula unga na bangi, mbaya zaidi wanajisifia mpaka kwenye nyimbo zao na wakiwa katika kumbi za starehe.

Q Chief ni mmoja kati ya waathirika wakubwa wa madaya ya kulevya lakini bado anaamini ameshuka kimuziki kutokana na kurogwa na Diamond Platnumz. Hii pekee inaonyesha jinsi gani vijana wetu wasivyojielewa.

Thought provoking question.

Nini mchango wa Ruge na Kusaga katika kuharibikiwa kwa wasanii wa bongo flava? Kumbuka karibu wasanii wote waliokuwa chini ya management ya Ruge wamedondokeakwenye utumiaji wa madawa ya kulevya. Mfano QChief, Mangwear, Ray C, Langa, Mr. Blue, Jide (tetesi anatumia bange), mtoto wa Nguza Viking etc etc
 
Mods mtutake radhi tupo msibani thread mnahamisha kila mkijisikia kwani hadi leo hamjajipanga namna ya kuhandle misiba mizito kama hii?
 
Hata mie nimepata msge kuptia mible yangu as breaking news na je ni kweli uteja????????
 
Na alivyoanza kutumia mneli na madawa mbona hukushtuka?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…