Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaaaaaaaaaaah ndo jembe langukaobama ....!!RIP
Mangwea afariki dunia akiwa afrca ya kusini.afariki ghafla.chanzo watu wa karbu nae
Dah!! Kama watu wanasema alilala then hajaamka lazima itakua kitu cha Diego/Sembe.R.I.P
Sent from my BlackBerry Z10 using JamiiForums
Teh teh..Umenichekesha kwenye msiba...Clouds Fm majanga tena!??R.I.P son mangwair.....
Umeacha biff ktk game kati ya JD komando na clouds fm majanga...
Mwana FA na yeye kavamia kuwanga... Kweli mchawi yule mtoto wa Tanga....
Umetangulia brother R.I.P son
Ngwea akiwa na msanii M to the P
jana south africa.mtu wa karibu
anasema walitakiwa kurudi dar leo
lakini waliwakuta wamezima
kwenye room wote wawili baada ya
kuji overdose madawa ya kulevya
na M to the P yupo hoi hospitali.
who was he?