Msanii Ali Kiba avaa nguo za kike stejini, wanaume wakware wampigia miluzi

Msanii Ali Kiba avaa nguo za kike stejini, wanaume wakware wampigia miluzi

Hiyo kitu ni kawaida sana,USA kuna kitu kinaitwa "LIP SYNC BATTLE" host ni LL Cool J ni battle inayowakutanisha celeb wawili wapambane kwa ku act wimbo ya msanii fulani na auvae uhalisia wa huyo msanii na wimbo wake but bila kuimba ni vitendo tu.

humo kuwakuta wakina Mike tyson kavaa mavazi kama ya Shakira na mauno kwa kwenda mbele ni kawaida sana...kwa hili la Ali sio jmbo la kushangaza just incase labda km hujui chochote kuhusu Sync battle au ni zile swaga za kuendeleza yale mapambano yetu ya u team.

Otherwise tunaendelea kusherehekea ubingwa wa Yanga huku tukiskilizia Serengeti boys Gaboooon mpk kombe la Duniaaa......
Hilo neno kawaida liishie huko huko USA, Marekani wameruhusu mapenzi ya jinsia moja na kwao kawaida... hivyo unamaanisha msanii wetu akishiriki mapenzi ya jinsia moja tujifariji kuwa kawaida kwasababu ni kawaida marekani...
 
Ha ha ubunifu mwingine bana! Ila kapendeza
 
hvi awa wasanii mameni wamekuaje, alianza ben pol, uyu nae kaja na stail za kuvaa viwalo vya wanawake

kweli wanaume tuhame sayari, apa duniani pameshapotea, twendeni pluto aisee
 
Yalikua ni mashindano ya kuimba nyimbo za hayati Brenda Fassie huko South Africa na mshindi aliibuka na zawadi ambaye ndiye Ali Kiba.Ukiangalia hapo hizo nguo ni style kama ile ya Brenda Fassie copy right!! huenda hiyo style ndo ilimfanya jamaa akaibuka mshindi by my side hicho ndicho nachofahamu.
 
Ali Kiba ni mwanamuziki,na muziki ni burudani.
Sioni ubaya wowote maana yuko stejini ambako ndiko ofisini kwake.
Binafsi nimeipenda sana,big up Ali Kiba.

Wengine hapa wanatokwa mapovu,wanatoa kejeli kwa Kiba ambaye kwa show moja anaingiza zaidi ya Mil. 15 huku wao walio ofisini (white collar job) wanalipwa laki 3 wanajiona bora!
Huu ni zaidi ya uwendawazimu!
Bibie haijalishi anaingiza kiasi gani,haiwezi kujustify yeye kuvaa nguo za kike,ungalau ungetetea ukasema sio za kike lakini kigezo cha pesa haya wauza unga wanapiga pesa bado haihalalishi biashara wanayofanya.binafsi siwezi mlaumu sana kiba najua hayo ni matokeo mtambuka ya kusign kwenye lebo ya sony.
 
Ahahaaa lemba kama la wale wadada wa kwenye wimbo wa Salome wa mondi
 
Wabongo wanaweza kuponda kwa kutokujua ila wakajifanya wanajua ili mradi tu waponde.

Ile haikuwa show kile ni kipindi cha TV Lip Sync battle kinachoongozwa na Dj Banj....Wasanii wanaitwa na kuigizia kuimba nyimbo za Wasanii wengine.

Kuna Wasanii kibao wa kike uvaa nguo za kiume na kuimba nyimbo za wanaume ili kuleta uhalisia.

Na kile ndio alichokifanya Ali ila mbongo wa Tandale aliejawa na chuki ya kutokula siku nzima anajisikia kuropoka tu.

Wakina Joti wanajipaka mpaka wanja na kuvaa magauni ila sio kesi ila kwa kuwa Ali amevaa gauni kelele.
 
Hii ilikua Lip Sync Battle Mtv Africa kati ya Alli Kiba(Tz) na ndege mnana Simi(Nigeria) simply Alli Kiba akachagua kuimba ngoma ya The late Brenda Fassie(Vulindela kama nimeandika sahihi) ivyo ilabidi avae uhusika kwa kuonekana kama Brenda na mwisho wa battle dogo Alli akaibuka mshindi kama inavyoonekana kwenye picha.
Kama mzee wa wangu marehemu Tx Moshi Williamu alipokua anaimba "Mume wangu kwa nini umeniacha" wakati yeye sio mwanamke ila lengo hadhira imapate ila ladha halisi ya sanaa yake ila kwa kua siku hizi kila kitu kinaangalia kwa kigezo cha timu sishangai watu wakicharurana umu ili kuridhisha nafsi na chuki za upande mmoja nakumbuka hata Joti alishambuliwa kwa kuigiza dada Kiboga ivyo ndivyo tulivyo tabaka la chini tuna furaha kuwananga wenzetu hata kama tunajua Joti sio shoga ila maumivu ya mafanikio yanatulazimisha tumseme tu ili tupate nafuu ya maumivu yetu BTW ni mtazamo wangu tu wa kawaida kwenye hili kama unapenda huu muziki wa sasa jaribu kuangalia behind the scene za video za hawa wasanii kuna vitu vingi utaviona.
i like it
 
Ali Kiba ni mwanamuziki,na muziki ni burudani.
Sioni ubaya wowote maana yuko stejini ambako ndiko ofisini kwake.
Binafsi nimeipenda sana,big up Ali Kiba.

Wengine hapa wanatokwa mapovu,wanatoa kejeli kwa Kiba ambaye kwa show moja anaingiza zaidi ya Mil. 15 huku wao walio ofisini (white collar job) wanalipwa laki 3 wanajiona bora!
Huu ni zaidi ya uwendawazimu!

Okay, kwa sababu yuko stejini, ofisini kwake, avae nguo za kike watu wasikosoe!

Kisa hawalipwi kama anavyolipwa yeye!

Ha ha ha, ila kapendeza kwa kweli, zimemtoa supa.
 
Duu...sasa tukianza mambo ya kumtumia GOOD NIGHT wishes.. Asirushe ngumi tu
 
Muelewe maudhui yake kwanza sio kutukana tu.. simpendi kibakuli lakini nimefuatilia ishu ni kwamba alikuwa anamuenzi BRENDA FASE.. kwahiyo sio kwamba shoo nzima akivaa hivyo.. hapo alikuwa anaimba wimbo wa brenda... tuacheni kutukana bila tafiti..
 
Msanii Ali Kiba alijikuta akivaa nguo za jinsia isiyo yake yaani za kike na kujikuta ametokelezea kama Aunt Asuu, Dan mtoto wa Mama, James Delicious au Bilal Mashauzi.

Ali Kiba kama wengine wanavyomsifia kwa kukata viuno basi alijikuta anazungusha mauno kama Fifi Moto hali iliyopelekea wanaume wakware kupagawa na kujikuta wakimpigia miluzi.

Huyo ndio King Kiba.. Yooooo.... Pop it up

Msanii Ali Kiba alijikuta akivaa nguo za jinsia isiyo yake yaani za kike na kujikuta ametokelezea kama Aunt Asuu, Dan mtoto wa Mama, James Delicious au Bilal Mashauzi.

Ali Kiba kama wengine wanavyomsifia kwa kukata viuno basi alijikuta anazungusha mauno kama Fifi Moto hali iliyopelekea wanaume wakware kupagawa na kujikuta wakimpigia miluzi.

Huyo ndio King Kiba.. Yooooo.... Pop it up

hivi Huyu jamaa.naona akizunguka kupiga show sijui.kwa nyimbo gani
 
Asante dada kwa kuwachana ,,ukichunguza watanzania wengi wenye vijembe mtandaoni ni wale kula kulala,au kulala kwa shem ,au kama ni kazi analipwa laki 3 kwamwezi alafu anampiga kijembe mtu ambaye yupo ofisini pale anazaidi ya mamilion yake ,,,da aliyetuloga bongo kashaoza kaburinii
Unatetea tabia mbaya za watoto wa kiume
Siku mwanao wa kiume akiiga matendo ya hawa jamaa ndipo utakapouona ukweli.
Lakini bahati mbaya itakuwa I'm chelewa.
Mwanadamu asiyekataa uovu sawa na Nyumba nzuri bila umeme.
 
Back
Top Bottom