nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 5,960
- 9,978
Baadhi ya familia za kiha hua na visa sana
Sishangai.
Sishangai.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazani ndoa ni kama kuimba AJE AJE
ndoa ni changamoto
Sasa ex kwanini hakuolewa yeye!Mange kwa fekelo yake naona kaamua nao tuwajue wakoje.. jana akamwaga na anadai bado kuna mengi.. akagusia na ya ex wa kale.
Kweli kama nzi, Na ukiongea unaambiwa mchoyo, sasa kama ni wakubwa kwanini wasijitegemee,Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
Wanaume huzani akiwa na pesa ndiyo kila kitu kama umeamua kuwa na mwenza kwanini akae na familia hapo, watu wenyewe mambo ya kiswahili kibao acha akapumzike, anazidi kuongeza watoto nyumbani bila mama zao, Baba mmoja mama zao 30
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Noma adseNdio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
CcmJinsia ya mleta mada ?
Tafadhali
Unaambiwa mama Kiba heri ya mama Mondi mkavu hatari anakunywa uji wa mgonjwa!
We used to be selling whites but we aint selling no more.Mange kwa fekelo yake naona kaamua nao tuwajue wakoje.. jana akamwaga na anadai bado kuna mengi.. akagusia na ya ex wa kale.
Huyo ni mwanaume ccm
Hilo kweli ndugu nao wanazidi mtu hawezi hata vaa pens akazunguka ndani kwake nyie mmetoa mimacho tu kwa wifi yenu [emoji846][emoji846][emoji846]Familia zetu za kiafrica kuwa na ndugu kwenye nyumba ni kitu cha kawaida ila unatakiwa uangalie kama hao ndugu hawaharibu uhusiano wako...Kiba ulipojua tu mkeo hapatani na mama yako ungewatenganisha kila mtu akae kwake...dada wa watu kavumilia...hata mie ningesepa..lol