Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 37,957
- 26,414
Ali Kiba Mswahili sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe añgalia usije ukapewa taraka kwa umbea.
Hilo kweli ndugu nao wanazidi mtu hawezi hata pens akazunguka ndani kwake nyie mmetoa mimacho tu kwa wifi yenu [emoji846][emoji846][emoji846]
Ndoa nzuri mkioana mkae hata mwaka wenyewe mfurahie ndoa mfinyane wenyewe lakini duu ndoa zetu unatoka kwenu unasema ngoja nikale tunda la ndoa uwiiii unatumbukia kwenye kundi la watu 12, wakati mwingine sio uchoyo Bali nikupeana nafasi tuEti pens [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Akaoe uswahilini sasaAli Kiba Mswahili sana
Tuwaachie tu wahindi na utamaduni wao wa kuishi pamojaNdoa nzuri mkioana mkae hata mwaka wenyewe mfurahie ndoa mfinyane wenyewe lakini duu ndoa zetu unatoka kwenu unasema ngoja nikale tunda la ndoa uwiiii unatumbukia kwenye kundi la watu 12, wakati mwingine sio uchoyo Bali nikupeana nafasi tu
Kama ni kweli pole yake Amina, hata hivyo mie nilimuona ana moyo sana. Mwanaume ana watoo watatu na kila mtoto na mama yake bado ukatumbulie humo[emoji134][emoji134][emoji134]
Kama haitoshi familia nzima inaishi under the same roof yaani hapo maana ya ndoa hakuna.
Sasa leta habari za dini au elimu dunia uone ambavyo zitasonga pole pole [emoji1]maswala ya umbea tunayapenda..kama naona vile huu uzi utakavyopaa..hahaaaa
Hahahaha mdogo wangu umekuwa mtundu sana
Wanaume huzani akiwa na pesa ndiyo kila kitu kama umeamua kuwa na mwenza kwanini akae na familia hapo, watu wenyewe mambo ya kiswahili kibao acha akapumzike, anazidi kuongeza watoto nyumbani bila mama zao, Baba mmoja mama zao 30
Ila mimi hata mama yangu awe ana makosa siwezi kuwa upande wa mwanamkeThis is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Acha upum.bavu.Baadhi ya familia za kiha hua na visa sana
Sishangai.
Kilichojiri baadaye tafadhali DoktaKuna shost ile tumemaliza form four tu alimpata kaka mmoja yuko serious kwa ndoa. Kaka alishajenga ghorofa, harusi kubwa na mama mkwe alikuja kutoka Malampanda.
Baada ya harusi mama mkwe aligoma kurudi kwake. Maisha ndipo yaliponona hapo.
kuna ukweli kwenye hili japo lipo kimzaha. ndoa ndugu kibao watu mnashindwa hata kujiachia bana.