Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwema shemu hujambo? ila mwambie nduguyo asinifanyie hayo anayonifanyia na mimi naumia eti najikaza tu kisabuni siwezi kuloloma mbele ya wananzengo.Shemela kwema
Mama + mawifi + mke = [emoji91]Wanaume huzani akiwa na pesa ndiyo kila kitu kama umeamua kuwa na mwenza kwanini akae na familia hapo, watu wenyewe mambo ya kiswahili kibao acha akapumzike, anazidi kuongeza watoto nyumbani bila mama zao, Baba mmoja mama zao 30
Huyu mdogo wangu Zesh ametenda kitu gani usijali shem nitazungumza nae.kwema shemu hujambo? ila mwambie nduguyo asinifanyie hayo anayonifanyia na mimi naumia eti najikaza tu kisabuni siwezi kuloloma mbele ya wananzengo.
fanya hivyo shemu wangu kipenziHuyu mdogo wangu Zesh ametenda kitu gani usijali shem nitazungumza nae.
Kama mke na mume tu moto unawaka sometimes ndo mawifi na wakwe...***** alikiba senge tu naee anajikuta anampenda mama yake amjengee asepe akaishi na ndugu zake...Mondi kusepa madale kidogo imempunguzia chokochoko aisee..Mnakaa ukoo mzima nyumba moja lazima mgongane tu
Tena watu wa mataifa tofauti, hivi ndoa yao imetimiza hata miaka miwili kweli...Kama mke na mume tu moto unawaka sometimes ndo mawifi na wakwe...***** alikiba senge tu naee anajikuta anampenda mama yake amjengee asepe akaishi na ndugu zake...Mondi kusepa madale kidogo imempunguzia chokochoko aisee..
Wanawake mmeumbwa kuvumilia. Sijui wale wanawake wavumilivu kama wazaman wameenda aapi???Kama ni kweli pole yake Amina, hata hivyo mie nilimuona ana moyo sana. Mwanaume ana watoto watatu na kila mtoto na mama yake bado ukatumbukie humo[emoji134][emoji134][emoji134]
Kama haitoshi familia nzima inaishi under the same roof yaani hapo maana ya ndoa hakuna.
Mungu alinena "ishi na mwanamke kwa akili"
Alimaanisha kama huna akili usioe!
So ukiona umeoa then ukashindwa kuishi na mkeo, maana yake huna akili
Hii ina maana huyu ndugu yetu Ally K hana akili hata kidogo
kweli ata mi sipendi. Utafikili wahindi nyumba ukoo mzima ata kujiachia na Mumeo uwezi ukigeuka mkwe mara shemeji ebu tubadikikeni wa Tz tuige wazungu familia ni Baba,mama na watotoNdio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .