Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini hela hizo harusi uzipigie hesabu za kuwapa ndugu?harusi zenye mbwembwe zikifanywa na maskini hazifikagi mbali..
alikiba anatoka ukoo maskini kitendo cha kufanya harusi ya mbwembwe tu ilikuwa kama analeta mkosi..
hela za harusi ya ali kiba zingewapa ndugu zake ali kiba mtaji.. wasingekomaa kuishi kwa alikiba..
ila harusi mnatumia hela nyingi huku ukooo wenu ni maskini.. mtagombana tu
Alichokasirika yeye mama kamshika mkewe uchawi,na mkewe atakuwa mchawi kweli(kwa akili za Kiba)mjuwe tu hawa vijana mama yao ndo kila kitu akisema huku msipite hawapiti hawa!Huenda ni zaidi ya inavyosemwa!
Ali Kiba atakuwa alivumilia Mengi toka kwa yule mwanamke!
Hadi kuamua kumwacha kwa talaka 3 hiyo tu inaonekana Ali amekasirika sana!
Yani hapo hakuna rejea[emoji108][emoji108]
Mama haishi Tabata ila ila Tabata iko mkononi mwake hata sindano ikidondoka kajua na kafikaKuishi nyumba moja na mama mzazi na mkeo uchague moja tu.
Acha uchoyo wewe mbona sisi tunaishi nao wengi tu.Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
Dah ... Basi Mungu atusaidiejinsi moja na wewe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Wanazani ndoa ni kama kuimba AJE AJE
ndoa ni changamoto
Kiba itakuwa amekasirika sana, maana kumpa talaka 3 maana yake hakuna tejea katu daima dumu!
Kwa maneno rahisi!?(ktk lugha yetu adhimu)Family and marriage are overrated
This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Mkuu zaweza kuwa ni fitina tu hizo.Ila ya choyo mbaya sana!
Halafu tena ulozi kuingia humo?!
Ndio maana wakwe wa kiafrica siku zote mtoto akiwa na vijisenti vya kubadilishia mboga wanakuwa nuksi hata ingekuwa mimi ndio amina ningewatoa baruWasalaam wajamvi!
Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba.
Ndoa ya King Kiba ilianza kuingia dosari baada ya Amina kutaka ndugu wa Alikiba wakajitafutie maisha yao na wajitegemee jambo ambalo lilizua taharuki na ugomvi mkubwa baini ya ndugu wa Alikiba na Amina..
Amina alidai ni vigumu kuishi na watu wengi vile ndani ya nyumba moja hata kama ni ghorofa na bado kuwe na amani...hivyo alimshauri alikiba awape mitaji wakajitegemee au awapangie nyumba nyingine.....
Hili jambo liliendeleza mgogoro mkubwa hadi Mama Alikiba kiingilia kati na kutaka Alikiba amuache Amina na akadai apendi hata watoto wa Alikiba kuwa pale....
Wakati hayo yakiendelea kutafutiwa uvumbuzi mtoto wa Alikiba aliugua na kupatwa ugonjwa ulio sababisha awe ana anguka kila muda.....hili lilichochea moto kwani ndugu na Mama Alikiba waliamua kufunga safari hadi kwa fundi ndipo alipotoa tv [emoji342] na kuwaonesha chanzo cha ugonjwa wa mtoto ikidawa amelogwa na Amina mke wa King [emoji146] kiba.
Hivyo basi Mama na ndugu baada ya kutoka kwa fundi walirudi na kumchana live Amina kuwa anataka kumuua mtoto wa King Kiba hivyo lazima aondoke jambo ambalo lilizua ugomvi mkubwa huku Amina akilia kama mtoto na kuwambie hawezi na hana tabia hizo labda kama wanataka aachane na ndugu yao lakini wasimsingizie....
Ugomvi ulikuwa mkubwa sana kupelekea Amina kubeba mwanae na kurudi kwao mombasa huku akitaka kupewa talaka maana ndoa imemshinda!
Mnamo mwezi wa nane mwisho King Kiba alimpa talaka Amina ili aendelee na maisha yake uku wakishirikiana kulea mtoto.
Wasalaaam