Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Ni vyema watu wenye utamaduni mmoja waoane. Kuoa sii kupenda rangi maumbile, na anavyoongea tuu lakini kumbuka unabeba na kuunganisha ndugu na tamaduni mbili. Kama unampenda mwanamke anayeonekana ni mzuri kwa sura na tabia lakini ndugu zake wanavitabia vya asili, kama ulevi, bangi, umalaya, uchawi ukadhani kwa kuwa huyo uliyempeda yuko tofauti umejidanganya>>> ndugu ni ndugu tuu kuna siku hayo matabia usiyoyapenda yataingilia mahusiano yenu
Umenena vema mkuu.
 
Kosa la huyo amina lipo wapi hapo......
Iwe kweli au fake hii kitu, but imebeba uhalisia wa wanawake walivyo!
Wanawake wengi ni chanzo cha migogoro katika familia, wanaweza kuzisambaratisha na kugombanisha vibaya sana!
...aliyesema tuishi na wanawake kwa akili aliona mbali sana!
 
Kampa talaka 3 kwa mpigo!

Talaka 3, talaka 3 yaani talaka 3.

Dah! Kiba naye.
 
Huyo mama yupo sahihi....mwanamke anahtaj full authority, ndo mana Mungu anasema uwaache mama na Baba mkaishi mbali,
 
Suala la kuwaweka Ndugu zako na Mkeo ni upuuzi..Staa kama yeye ilibidi awajengee ndugu zake wakaishi mbali hukoo...!!
 
Ila Kiba naye anakosea! Huwezi kuishi na familia kubwa hivyo wakati umeoa. Choko choko zitakuwa nyingi tu. Kingine ndugu wasichojua huwa wanataka wawejuu ya mke. Wakati mke ni kwake yeye ndiye mama mwenye nyumba watazinguana tu.

Kama anampunga angefanya kama mkewe alivyomshauri angewapa mitaji wakachakarike na maisha huko.

Kukaa na ndugu sawa ila siyo kukaa na kikosi.
 
Kama story ni ya kweli kwanini wanaume hatuna maamuzi yanayoeleweka, kwanini kiba aishi na familia yake pale kwao, hana pesa ya kuijengea familia nyumba au yeye Kiba ajenge nyumba nyingine akaishi yeye huko na mkewe mpaka aruhusu waishi wote hapo? kiba na yeye afikirie vzuri hakuoa ili aishi na mkewe pamoja na familia kubwa namna hiyo
 
Back
Top Bottom