Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Hivi Amina alienjoy mdinyo kweli? Maana raha ya mdinyo any time anywhere mnabanjuana sasa hiyo nyumba jamani mara zabibu, mara mama mkwe mara abdu mara kings artist mara watoto maskini bint wa watu hata hajafaidi, bora alivyojiondokea atapata mume atakayefaidi.

Mimi nilikaa ukweni mwezi tu kila siku nlitafuta sababu turudi kwetu maana ukianza kupika ndo mkwe weee kama mbuzi mbuzi mzima unahangaika nae, mpaka mda wa kuhudumia mume usiku kiuno kimeganda.
Na kudinyana kwenyewe inabidi mwanaume akuzibe mdomo kelele za mautamu wasisikie wakwe, ikitokea mume katoka mihangaiko labda kajibandikia chai unaona kabisa hao ndugu wanamind na kuweka kikao cha dharura.
Kuolewa familia ya kimaskini na waswahili waliojazana ndani ni UTUMWA.
Kama ni kweli pole yake Amina, hata hivyo mie nilimuona ana moyo sana. Mwanaume ana watoto watatu na kila mtoto na mama yake bado ukatumbukie humo[emoji134][emoji134][emoji134]
Kama haitoshi familia nzima inaishi under the same roof yaani hapo maana ya ndoa hakuna.
 
Hivi mnazijua tabia za wanawake wa Mombasa nyie?

Au mnamlaumu Ali Kiba bure tu?

Ukweli anao Kiba na watu wake wa Karibu tu!
 
Familia zetu za kiafrica kuwa na ndugu kwenye nyumba ni kitu cha kawaida ila unatakiwa uangalie kama hao ndugu hawaharibu uhusiano wako...Kiba ulipojua tu mkeo hapatani na mama yako ungewatenganisha kila mtu akae kwake...dada wa watu kavumilia...hata mie ningesepa..lol

Ni kweli africa tuna Extended families, huwezi kujitenga na ndugu
 
Hivi mnazijua tabia za wanawake wa Mombasa nyie?

Au mnamlaumu Ali Kiba bure tu?

Ukweli anao Kiba na watu wake wa Karibu tu!
Mzee mwenzangu umezungumza kweli ,nimesoma coment za wengi humu hawajui hawa wanawake wakimombasa huwa ni washenzi sana ,kwanza wanataka kuwa juu ya mume ,yaan mke awe na sauti ,pia ni watu wa anasa na wabinafsi sana hawana adabu
 
harusi zenye mbwembwe zikifanywa na maskini hazifikagi mbali..

alikiba anatoka ukoo maskini kitendo cha kufanya harusi ya mbwembwe tu ilikuwa kama analeta mkosi..

hela za harusi ya ali kiba zingewapa ndugu zake ali kiba mtaji.. wasingekomaa kuishi kwa alikiba..


ila harusi mnatumia hela nyingi huku ukooo wenu ni maskini.. mtagombana tu

Hoja zako hazina nguvu kuhalalisha kuvunjika kwa ndoa ya Kiba! Yaan mie nimefanikiwa nisifanye yangu kisa kuna ndugu wananitegemea, nae akatafute pake afanye yake!!

Hoja ni kwamba! Watanzania kama si Waafrika tuna tamaduni za kuwa na familia kubwa hasa ikitokea umefanikiwa kidogo! Mi mwenyewe katika umri fulani nimelelewa na shangazi yangu na bado pale tulikuta ndugu wengine kutoka upande wa mumewe na upande wetu pia!!

Kwa wakati ule kwake ilikuwa furaha! Ila kwa kizazi cha sasa ni ngumu, hata kwangu pia!!

Kiba amelelewa katika familia ya hivyo, so hawezi kukaa mbali na nduguze kama ilivyo kwa Diamond pia! Japo Diamond kuna vitu kaboresha kuhusu familia!!

Kiba angajenga nyumba ya kuwajaza nduguz then kwake akakae na mke wake!! So simple!!

Ye kajenga mjumba mkuuubwa, mdogo wake kaoa anakaa na mke humo! Yeye na mke humo, dada zake humo!! Haaaa! Lazima kingevurugika tuu
 
Hivi Amina alienjoy mdinyo kweli? Maana raha ya mdinyo any time anywhere mnabanjuana sasa hiyo nyumba jamani mara zabibu, mara mama mkwe mara abdu mara kings artist mara watoto maskini bint wa watu hata hajafaidi, bora alivyojiondokea atapata mume atakayefaidi.
Mimi nilikaa ukweni mwezi tu kila siku nlitafuta sababu turudi kwetu maana ukianza kupika ndo mkwe weee kama mbuzi mbuzi mzima unahangaika nae, mpaka mda wa kuhudumia mume usiku kiuno kimeganda.
Na kudinyana kwenyewe inabidi mwanaume akuzibe mdomo kelele za mautamu wasisikie wakwe, ikitokea mume katoka mihangaiko labda kajibandikia chai unaona kabisa hao ndugu wanamind na kuweka kikao cha dharura.
Kuolewa familia ya kimaskini na waswahili waliojazana ndani ni UTUMWA.

Duh si mchezo
 
Mzee mwenzangu umezungumza kweli ,nimesoma coment za wengi humu hawajui hawa wanawake wakimombasa huwa ni washenzi sana ,kwanza wanataka kuwa juu ya mume ,yaan mke awe na sauti ,pia ni watu wa anasa na wabinafsi sana hawana adabu

Kabisa!

Yani hivyo ndivyo walivyo!

Kiba atakuwa na siri kubwa moyoni mwake!

Akiamua kwenda kwenye press conference afunguke watu watashangaa!
 
Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
Mbona wahindi wanaishi hivyo?
 
Kuoa na kuishi na mwanamke kwenye nyumba ya familia ni ngumu sana ndoa ikadumu, wazo alilotoa mkewe na kukaa mbali na familia lingeokoa ndoa yao. Ila huenda kiba mwenyewe alitamani litokee ili waachane
 
Back
Top Bottom