kilwakivinje
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 6,184
- 9,407
Hata mimi nilipoia sikutaka ndugu wa kukaa muda kwangu tuachiwe nafasi na mke wangu ase
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisa Mrs VanTuwaachie tu wahindi na utamaduni wao wa kuishi pamoja
Tuna ufahamu siku hizi.Wanawake mmeumbwa kuvumilia. Sijui wale wanawake wavumilivu kama wazaman wameenda aapi???
+1harusi zenye mbwembwe zikifanywa na maskini hazifikagi mbali..
alikiba anatoka ukoo maskini kitendo cha kufanya harusi ya mbwembwe tu ilikuwa kama analeta mkosi..
hela za harusi ya ali kiba zingewapa ndugu zake ali kiba mtaji.. wasingekomaa kuishi kwa alikiba..
ila harusi mnatumia hela nyingi huku ukooo wenu ni maskini.. mtagombana tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bala sanaa... Mkopo ukaanza kumtesa sasa+1
Nimejikuta nakumbuka rafiki yangu mmoja alilazimisha harusi ya gharama na mkopo wa benki juu, alivyorudi honey moon , yaliyoendelea katika maisha yake yanasikitisha
[emoji23][emoji23]+1
Nimejikuta nakumbuka rafiki yangu mmoja alilazimisha harusi ya gharama na mkopo wa benki juu, alivyorudi honey moon , yaliyoendelea katika maisha yake yanasikitisha
Vipi bi Amina alikuwa kamfunga kizazi Zabibu ,mimba imepatikana sasa?Ni dada yake Kiba, kaolewa na Abdul Banda, wanaishi vizuri wao
Vipi bi Amina alikuwa kamfunga kizazi Zabibu ,mimba imepatikana sasa?
This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Mbona wahindi wanaishi hivyo?
Etieeeeh!This is sad,pole Amina..uwe haupendani na ndugu za mumeo na mumeo anawa support ndugu zake..hio atmosphere ni ngumu...bora ukapumue mwaya!!
Ila ya choyo mbaya sana!
Halafu tena ulozi kuingia humo?!
Yaelekea na wewe unaendekeza sana KUJAZANA alikoolewa au kuoa ndugu yako. Neno CHOYO unalitumia kama silaha ya kuonesha ubaya wa mwanamke, lakini kuna mambo unapaswa uyatambue kuhusu mahusiano.Mbona kuna familia huwa wanaishi pamoja na kuelewana tu?!
Choyo au kitu gani?
Mara nyingi kunakuwa hakuna maelewano. Uishi na mumu, mama mkwe,mawifi, na watoto wa mume uliowakuta , loh hata mie yangenishindaMbona kuna familia huwa wanaishi pamoja na kuelewana tu?!
Choyo au kitu gani?
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] kvpMnakaa ukoo mzima nyumba moja lazima mgongane tu
Kwani wakati unaolewa ukuyajua hayo? Walivyokuwa wanasema muwe mnaangalia familia za kuoa au kuolewa nazo ndo kama haya,kama uliwakuta wanaishi hivo na ukakubali kuolewa huna budi kuishi nao,labda kama maisha yalibadilika baada ya wewe kuolewaMara nyingi kunakuwa hakuna maelewano. Uishi na mumu, mama mkwe,mawifi, na watoto wa mume uliowakuta , loh hata mie yangenishinda