Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .
warabu wanaesh uko mmoja nyumba moja hawana vurugu kama hizoo,,,baadhi ya wahindi piaaa,,,na wengineo usio wafahamu tembea uone usikariri maneno!!wanawake wenye tabia mbaya wapo aijalishi mna ishi nyumba moja au laa!!
 
Mm si mtalamu wa saikolojia ila toka mwanzo ukiangalia picha ya ule binti utadunhua kuna ishu au ni ametolewaga bandama maana hatabasamu sana kivile kama anakitu cha ndani na sasa haya yaliyotokea naona kama kulikuwa na kitu... halafu wakenya na huu uswahili wetu wapi na watu tunajazana sana Amina kaanze maisha mapya hao ndo watanzania Na yule wa DIMAOND SIJUI MAANA MAMA DANGOTE KUTOKA PALE HEEE SIJUI
 
warabu wanaesh uko mmoja nyumba moja hawana vurugu kama hizoo,,,baadhi ya wahindi piaaa,,,na wengineo usio wafahamu tembea uone usikariri maneno!!wanawake wenye tabia mbaya wapo aijalishi mna ishi nyumba moja au laa!!
Hao si waafrica basi inawezekana waswahili tu,eiga toka kwa waarabu, wahinfi nk
 
CCM 56:7 inasema mtakapoona dalili hizi ndipo mjue tunaingia uchumi wa kati tukiongozwa na nabii jiwe
 
Kama alijua basi apambane na hali yake. Why muishi nyumba moja ukoo mzima wakati uwezo wa kila mtu kukaa kivyake upo?
Ni matatizo ya kujitakia..inajulikana kabisa mke, mama mkwe na mawifi ni Mara chache sana wanapatana. Kwanini usababishe matatizo kwa kujitakia? Raha ya ndoa hasa kama ni changa mke na mume wakae peke yao kwa raha zao ndugu waje kutembea na kuondoka.
Kaambali
ukoo mzima unamtegemea alikiba.. Nayeye ndio hivo pesa za kuunga unga
 
Wasalaam wajamvi!

Msanii Alikiba a.k.a King Kiba amempa talaka tatu mkewe Amina raia wa kenya baada ya kushindwa kupata muafaka juu ya ugomvi wao na ndugu wa Alikiba na Mama wa Alikiba.

Ndoa ya King Kiba ilianza kuingia dosari baada ya Amina kutaka ndugu wa Alikiba wakajitafutie maisha yao na wajitegemee jambo ambalo lilizua taharuki na ugomvi mkubwa baini ya ndugu wa Alikiba na Amina..

Amina alidai ni vigumu kuishi na watu wengi vile ndani ya nyumba moja hata kama ni ghorofa na bado kuwe na amani...hivyo alimshauri alikiba awape mitaji wakajitegemee au awapangie nyumba nyingine.....

Hili jambo liliendeleza mgogoro mkubwa hadi Mama Alikiba kiingilia kati na kutaka Alikiba amuache Amina na akadai apendi hata watoto wa Alikiba kuwa pale....


Wakati hayo yakiendelea kutafutiwa uvumbuzi mtoto wa Alikiba aliugua na kupatwa ugonjwa ulio sababisha awe ana anguka kila muda.....hili lilichochea moto kwani ndugu na Mama Alikiba waliamua kufunga safari hadi kwa fundi ndipo alipotoa tv [emoji342] na kuwaonesha chanzo cha ugonjwa wa mtoto ikidawa amelogwa na Amina mke wa King [emoji146] kiba.


Hivyo basi Mama na ndugu baada ya kutoka kwa fundi walirudi na kumchana live Amina kuwa anataka kumuua mtoto wa King Kiba hivyo lazima aondoke jambo ambalo lilizua ugomvi mkubwa huku Amina akilia kama mtoto na kuwambie hawezi na hana tabia hizo labda kama wanataka aachane na ndugu yao lakini wasimsingizie....

Ugomvi ulikuwa mkubwa sana kupelekea Amina kubeba mwanae na kurudi kwao mombasa huku akitaka kupewa talaka maana ndoa imemshinda!


Mnamo mwezi wa nane mwisho King Kiba alimpa talaka Amina ili aendelee na maisha yake uku wakishirikiana kulea mtoto.


Wasalaaam
Mengi amesemwa ya kweli na yakutunga na mengi sana yatasemwa dhidi ya kijana huyu ambaye anajiheshimu na kuheshimu watu sana. Namshauri anayamaze wala asijibu tuhuma kama hizi kwani wakati ndiyo utakaosema.
 
harusi zenye mbwembwe zikifanywa na maskini hazifikagi mbali..

alikiba anatoka ukoo maskini kitendo cha kufanya harusi ya mbwembwe tu ilikuwa kama analeta mkosi..

hela za harusi ya ali kiba zingewapa ndugu zake ali kiba mtaji.. wasingekomaa kuishi kwa alikiba..


ila harusi mnatumia hela nyingi huku ukooo wenu ni maskini.. mtagombana tu
Alidhaminiwa na Joho.
 
harusi zenye mbwembwe zikifanywa na maskini hazifikagi mbali..

alikiba anatoka ukoo maskini kitendo cha kufanya harusi ya mbwembwe tu ilikuwa kama analeta mkosi..

hela za harusi ya ali kiba zingewapa ndugu zake ali kiba mtaji.. wasingekomaa kuishi kwa alikiba..


ila harusi mnatumia hela nyingi huku ukooo wenu ni maskini.. mtagombana tu
Uko sahihi ndugu.
Huyo mke wa Alikiba aliona mbali kuliko Alikiba.
Kujazana na ndugu kibao kwenye nyumba moja ni staili ya kizamani.
Kama unawapenda ndugu wape mtaji wainuke kimaisha na sio kuangaliana masaa yote.
 
Kama ni kweli basi nimemdharau sana Ally Kiba,Star mkubwa kama yeye halafu anaishi kifala namna hiyo maana yake nini?
Daima huwa nawadharau sana mastaa wa kibongo,hawana tofauti na watu ambao hawakwenda shule!
Kwani Kiba ana shule ipi kichwani .

Shulr muhimu Sana katika kufanya maamuzi kuna watu wataponda Sana

Ila shule muhimu jamani

Hahahaha
 
Yaelekea na wewe unaendekeza sana KUJAZANA alikoolewa au kuoa ndugu yako. Neno CHOYO unalitumia kama silaha ya kuonesha ubaya wa mwanamke, lakini kuna mambo unapaswa uyatambue kuhusu mahusiano.

Unapoamua kuwa na familia yako na kuingia kwenye mahusiano wa ndoa na mwenza, uhusiano wako na familia unayotokea unaingia mipaka. Ni uswahili uliopitiliza mipaka kwa mijitu 8 mitu mizima na public hair zao kwenda kujazana kwa ndugu yao ambaye ana mke na watoto as if hiyo ni kambi ya wakimbizi.

Ukioa MKE usimjazie nyumbani ndugu zako as if umeajiri MATRON. Mamaako ana BWANAAKE (babaako) akae huko kwa mumewe, kakaako na dada zako nao pia wana wake zao na waume zao, kuna haja gani ya kujazana nyumbani kwako mpaka mkeo akose privacy? Uswahili huo!

Na kama wewe ni wa kike, ukiolewa haimaanishi mmeolewa ukoo mzima kiasi familiako ijitoe fahamu kuhamia ulikoolewa kama mahayawani. Ndoa ni taasisi ya watu wawili na sio ukoo. Umaskini nao uwe na limits za kuudisplay

Hayo majitu hovyo yaliyojazana kwa ndugu yao ndio MACHOYO, yanamnyima binti wa watu nafasi ya kuwa na mumewe. Unajua na hawa watani zangu wameathiriwa sana na uwepo wa kambi za wakimbizi huko Kibondo. Yaani wana hamu ya kujazana sehemu moja kama nguchiro kiasi hawana haya. Na hata hivyo muha na mwehu wamepishana padogo sana, ndio maana huyu naye anaachana na mkewe kisa ukoo wa nguchiro

Haya mambo wakati mwingine hayanaga kanuni ya aina moja, kwa hiyo usikariri!

Kuna familia zimekuwa zikiishi hivyo bila matatizo yoyote, kama kupishana kunakuwa kwa mambo madogo madogo yasiyopelekea kuachana!
 
Mhh sidhani kama hizi habari ni za kweli, sijawahi tegemea haya kwa Alikiba, tho anaonekana kuwa na issues.
 
Kwani ndugu wengi wa Ali Kiba ni wapi maana najua Ali ana ndugu wa damu wa 3 ambao ni Abdu, Zabibu na yule dogo wa mwisho.

Zabibu kaolewa zake huko, Abdu ana mke moja kwa moja hawezi ishi na kaka yake, mama yake kiba anaishi kivyake na yule mwanae wa kiume wa mwisho. Waliobaki ni watoto wa kiba kama wawili hivi, hao ndugu ni wapi sasa waliojazana kwa Ali?
Hizi habari za kupika tabu tu.
 
Yule mama haiba yake tu sisi wataalamu wa saikolojia tulishang'amua

Kuna video flani niliona anamtazama mke wa abdu kiba nikashangaa[emoji44]
Elezwa sasa alomtenda marehemu mumewe utachoka hata kumsikiza mwanae akiimba
 
Back
Top Bottom