Yaelekea na wewe unaendekeza sana KUJAZANA alikoolewa au kuoa ndugu yako. Neno CHOYO unalitumia kama silaha ya kuonesha ubaya wa mwanamke, lakini kuna mambo unapaswa uyatambue kuhusu mahusiano.
Unapoamua kuwa na familia yako na kuingia kwenye mahusiano wa ndoa na mwenza, uhusiano wako na familia unayotokea unaingia mipaka. Ni uswahili uliopitiliza mipaka kwa mijitu 8 mitu mizima na public hair zao kwenda kujazana kwa ndugu yao ambaye ana mke na watoto as if hiyo ni kambi ya wakimbizi.
Ukioa MKE usimjazie nyumbani ndugu zako as if umeajiri MATRON. Mamaako ana BWANAAKE (babaako) akae huko kwa mumewe, kakaako na dada zako nao pia wana wake zao na waume zao, kuna haja gani ya kujazana nyumbani kwako mpaka mkeo akose privacy? Uswahili huo!
Na kama wewe ni wa kike, ukiolewa haimaanishi mmeolewa ukoo mzima kiasi familiako ijitoe fahamu kuhamia ulikoolewa kama mahayawani. Ndoa ni taasisi ya watu wawili na sio ukoo. Umaskini nao uwe na limits za kuudisplay
Hayo majitu hovyo yaliyojazana kwa ndugu yao ndio MACHOYO, yanamnyima binti wa watu nafasi ya kuwa na mumewe. Unajua na hawa watani zangu wameathiriwa sana na uwepo wa kambi za wakimbizi huko Kibondo. Yaani wana hamu ya kujazana sehemu moja kama nguchiro kiasi hawana haya. Na hata hivyo muha na mwehu wamepishana padogo sana, ndio maana huyu naye anaachana na mkewe kisa ukoo wa nguchiro