Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo hapo kati ya sanene na barakuda. Mazoez huwa anafanyia viwanja vya pale sigara.Tabata mitaa gani hiyo mana kuna kipindi nlikaa dar kama wiki 2 mitaa ya sanene,nlikua namuona hapo kwetu pazuri
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]maswala ya umbea tunayapenda..kama naona vile huu uzi utakavyopaa..hahaaaa
Ebhanae mbn hajawai ata kuitupia tukaiona asee dah huyu mamba kweli mambo yake kmy kmy tuEehe mzee baba...!! Kagorofa flani simple
Aisee.. Umenisumbua hadi kwenda kuangalia paziaDogo mbona pazia lako la kigay sans.
Umekuwa gay?
Nani? Mleta Mada au Ali Kiba?talaka tatu unazijua wewe au unakurupuka tu?
Yap ana ghorofa ila hataki kujionyesha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kumbe kiba Ana ghorofa kabisa duh!
Sijui huko kwenye dini zenu, kwa imani yangu mimi, msingi wa ndoa ni mimi kuachana na ndugu na wazazi wangu na kuambatana na mke wange, tangu hapo sisi ni familia. Haimaanishi kuwa hatutatembeleana, lkn suala la kukaa pamoja ni kumkosesha mmoja wenu uhuru.Haya mambo wakati mwingine hayanaga kanuni ya aina moja, kwa hiyo usikariri!
Kuna familia zimekuwa zikiishi hivyo bila matatizo yoyote, kama kupishana kunakuwa kwa mambo madogo madogo yasiyopelekea kuachana!
Hakugongewa katika ndoa ila alioa “used wa ma star “."Mwanamke ni kiumbe pekee kisichojua kinataka nini"
Karibuni sana kwa utetezi Wazee wa "tafuta sana pesa ili ukiwa nazo uheshimike/usigongewe katika ndoa"
Aligongewa Mzee Machache na hela zote, kagongewa mke wa kwanza had wakaaachana, kagongewa huyu mdogo, had kanogewa katengenza figisu la kumuwahisha mzee."Mwanamke ni kiumbe pekee kisichojua kinataka nini"
Karibuni sana kwa utetezi Wazee wa "tafuta sana pesa ili ukiwa nazo uheshimike/usigongewe katika ndoa"
😳 😳 😳Aligongewa Mzee Machache na hela zote, kagongewa mke wa kwanza had wakaaachana, kagongewa huyu mdogo, had kanogewa katengenza figisu la kumuwahisha mzee.
Hayana formular. Ishi nao kwa akili