Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Tetesi: Msanii Alikiba ampa talaka tatu mkewe chanzo kikiwa ni ndugu na kurogana

Hivi Amina alienjoy mdinyo kweli? Maana raha ya mdinyo any time anywhere mnabanjuana sasa hiyo nyumba jamani mara zabibu, mara mama mkwe mara abdu mara kings artist mara watoto maskini bint wa watu hata hajafaidi, bora alivyojiondokea atapata mume atakayefaidi.

Mimi nilikaa ukweni mwezi tu kila siku nlitafuta sababu turudi kwetu maana ukianza kupika ndo mkwe weee kama mbuzi mbuzi mzima unahangaika nae, mpaka mda wa kuhudumia mume usiku kiuno kimeganda.
Na kudinyana kwenyewe inabidi mwanaume akuzibe mdomo kelele za mautamu wasisikie wakwe, ikitokea mume katoka mihangaiko labda kajibandikia chai unaona kabisa hao ndugu wanamind na kuweka kikao cha dharura.
Kuolewa familia ya kimaskini na waswahili waliojazana ndani ni UTUMWA.
Eti kudinyana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
For sure, ndoa hata mwaka bado then ndugu wanataka kuja hapo hapo
Ndugu chukua kama ni 1 hata wawili waje kwako sawa lakini mpo hapo ukoo mzima unaoa binti unakuja mtumbukiza hapo duu sio vizuri
 
Hivi Amina alienjoy mdinyo kweli? Maana raha ya mdinyo any time anywhere mnabanjuana sasa hiyo nyumba jamani mara zabibu, mara mama mkwe mara abdu mara kings artist mara watoto maskini bint wa watu hata hajafaidi, bora alivyojiondokea atapata mume atakayefaidi.

Mimi nilikaa ukweni mwezi tu kila siku nlitafuta sababu turudi kwetu maana ukianza kupika ndo mkwe weee kama mbuzi mbuzi mzima unahangaika nae, mpaka mda wa kuhudumia mume usiku kiuno kimeganda.
Na kudinyana kwenyewe inabidi mwanaume akuzibe mdomo kelele za mautamu wasisikie wakwe, ikitokea mume katoka mihangaiko labda kajibandikia chai unaona kabisa hao ndugu wanamind na kuweka kikao cha dharura.
Kuolewa familia ya kimaskini na waswahili waliojazana ndani ni UTUMWA.

Kiba hana tabia ya kubanjua kwenye chumba, kumbuka yule DC alikuwa anabanjuliwa kwenye verossa, haya wema naye alkuwa anagongewa kwenye gari, kiba akirudi Tabata mjengoni mwake anakula mzigo parking, wakiingia ndani ni kuoga tu, mind you wakenya hawakati viouno kwahiyo Kiba hatumii nguvu nyingi na ndio maana amekuwa nastress sana za mapenzi.
 
Yaelekea na wewe unaendekeza sana KUJAZANA alikoolewa au kuoa ndugu yako. Neno CHOYO unalitumia kama silaha ya kuonesha ubaya wa mwanamke, lakini kuna mambo unapaswa uyatambue kuhusu mahusiano.

Unapoamua kuwa na familia yako na kuingia kwenye mahusiano wa ndoa na mwenza, uhusiano wako na familia unayotokea unaingia mipaka. Ni uswahili uliopitiliza mipaka kwa mijitu 8 mitu mizima na public hair zao kwenda kujazana kwa ndugu yao ambaye ana mke na watoto as if hiyo ni kambi ya wakimbizi.

Ukioa MKE usimjazie nyumbani ndugu zako as if umeajiri MATRON. Mamaako ana BWANAAKE (babaako) akae huko kwa mumewe, kakaako na dada zako nao pia wana wake zao na waume zao, kuna haja gani ya kujazana nyumbani kwako mpaka mkeo akose privacy? Uswahili huo!

Na kama wewe ni wa kike, ukiolewa haimaanishi mmeolewa ukoo mzima kiasi familiako ijitoe fahamu kuhamia ulikoolewa kama mahayawani. Ndoa ni taasisi ya watu wawili na sio ukoo. Umaskini nao uwe na limits za kuudisplay

Hayo majitu hovyo yaliyojazana kwa ndugu yao ndio MACHOYO, yanamnyima binti wa watu nafasi ya kuwa na mumewe. Unajua na hawa watani zangu wameathiriwa sana na uwepo wa kambi za wakimbizi huko Kibondo. Yaani wana hamu ya kujazana sehemu moja kama nguchiro kiasi hawana haya. Na hata hivyo muha na mwehu wamepishana padogo sana, ndio maana huyu naye anaachana na mkewe kisa ukoo wa nguchiro
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kweli kama nguchiro utazani mpo kambi maisha gani hayo
 
King kiba alitaka bikira wakati kuna aliowazalisha na kuwaacha ila huyu jamaa aliendekeza ndugu sana hata mond haya mambo yanamkuta sana tu
Anataka bikira wakati yeye kazalisha nakuacha nani atawaoa, kisu.lazima kigeuke tu
 
Inawezekana kweli wameachana lakini nitakuwa mtu wa mwisho kuamini hizo propaganda za mleta mada.
 
Ndio tatizo la ndoa za kishwahili mnapishana na ndugu kwenye korido Kama nzi. Afrika kuchomoka bado Sana unaweza kuishi na ndugu zaidi ya watano nyumba moja,Dada wa kazi anafanya kazi ya kupika kuanzia asubuhi Hadi usiku utadhan ni mpisha wa hotel.mnapika chakula kingi Hadi kinakosa ladha .


Endapo kama kuna ukweli ktk suala hili, NA endapo kama habari hii ni ya kweli , mwanamke KWA kiasi Fulani alikuwa yuko sahihi. Haiwezekani wanandugu mjazane KWA MTU mmoja ambaye ana ndoa yake. Hapo ndipo tunapokosea sana NA kuharibu ndoa zetu.

Kijana akioa mwanamke tayari wamekuwa wamejitengenezea au kuunda " Serikali yao inayojitegemea ktk maamuzi" miongoni mwao wanandoa. Lazima wawe huru kujiamulia mambo yao wao wenyewe, watu wengine wote pamoja na wazazi NA wana ndugu wanabaki kuwa washauri tu kwa wanandoa hao.

Ni lazima wana ndugu wakae mbali, wala wasiwe sehemu ya ndoa au wawe pia NA maamuzi ktk ndoa ya ndugu yao kwani KWA kufanya hivyo lazima ndoa husika itaingia kwenye migogoro tu na hatimaye kuvunjika kabisa. Wanandugu wanatakiwa kumtembelea au kuishi na wanandoa KWA muda tu, lakini siyo kuwa nao pamoja na kuwa familia moja.
 
Back
Top Bottom