Swali la kijinga. Inashangaza siku hizi JF imeingiliwa na watu wa namna gani. Kama huna cha kuandika kwani lazima uandike?Ndiyo utamtoa Dj?
Lushindo lwako nyanoko.Kajifunze kiswahili Kwanza ujue tofauti ya "Wimbo na Nyimbo" halafu ndio uje kujua kipi kizuri kipi kibaya.
Swali la kijinga. Inashangaza siku hizi JF imeingiliwa na watu wa namna gani. Kama huna cha kuandika kwani lazima uandike?
Lengo la Forum imeharibiwa kabisa. Low minds ni wengi kuliko great minds.
Dj anapogeuka mfungwaJiwe linapogeuka vumbi
Wewe wasemaHuna ubavu huo
Ngoja niupakue kabla mafekeche hayajaanzaUtafungiwa subiri Maviongozi ya ccm au hutaona unapigwa sehemu yoyote
Msaada. Nashindwa hz attachment, kila nikibofya inafungua page mpya, hapo nifanye nini ili niweze soma au sikiliza video husika?Hata baadhi ya watu wakitaka kutunyamazisha basi mawe yataongea.
Wasanii wametoa wimbo wa Mbowe siyo Gaidi.
Wacha tuusikilize ndugu wazaleeendo wenzetu.
View attachment 1985347
Haaaahahaha kumbe Mbowe ni gaidi. Bora afungwe atuondolee Ugaidi nchini mwetu. Gaidi baya kabisa hili.Hata baadhi ya watu wakitaka kutunyamazisha basi mawe yataongea.
Wasanii wametoa wimbo wa Mbowe siyo Gaidi.
Wacha tuusikilize ndugu wazaleeendo wenzetu.
View attachment 1985347
Ya sakafuniKarudi kwenye 6Γ6
Kunanjia nyingi za kuua panya onasasa wimbo una kelele zaidi kuliko mboweLkn tayari mimi na wewe tushausiliza hivyo wacha wajichooshe
Ukombizi wa akili mgando unahitaji ubunifu wa kukeraShughuli za ukombozi zinahitaji uvumilivu na ubunifu
ππππ. Mpelekeeni godoro DjUtajua wewe na mzoga wako