Huyo ay Kazaa nae lakini1. Ben Pol - Chali (Kenya)
2. Kibakuli - Chali(Kenya)
3.Yesaya - Chali(Rwanda)
Ila kweli kuoa mtu nje ya jamii yako kumatch inakuwa ngumu sana ,imagine AY ni bilionea ,mkewe mzuri why hawajaendana? Inakuwaje ghafla tu mkewe awe na boyfriend mpya na waende paris ,means mkewe alikuwa kicheche.
Mpunga wa Tigo ni kweli walikula. Lakini si kweli kuwa FA na AY walipata B moja moja, kuna mchanganuo wake lakini sina haki ya kuuweka hapa hadharani. Ila ni suala linalojulikana.Yes ni Bilionea even FA ,walikula mpunga wa tigo kila mtu alichukua B1.
Mpunga wa Tigo ni kweli walikula. Lakini si kweli kuwa FA na AY walipata B moja moja, kuna mchanganuo wake lakini sina haki ya kuuweka hapa hadharani. Ila ni suala linalojulikana.
Weee usiniambie dada!Washaachana walijifanya kwenda kuoa nje ya Tanzania wote wameachika rudin nyumbani kumenoga
Tamu za numbie! [emoji1787]Ali kiba nae single talaka katoa kwa lazima