Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
😂😂😂 wanajionaga wazunguKama hao watutsi Ni wadangaji bas Sina hamu nao tubaki na wakwetu huku tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂 wanajionaga wazunguKama hao watutsi Ni wadangaji bas Sina hamu nao tubaki na wakwetu huku tu
Kbsa yaani dar Kuna pisi balah lkn mijitu inakimbilia rwandaa kuoa bully shitiKwa kweli mi bado sijawai kubabaika na race tofauti na ya Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23] mi huwaga hata hao wakina Kim Kardash siwaoni uzuri wao kabisa!!!! Napenda wanawake w Tanzania yaani wamachangamka hata kama ni maskini tofauti na wengine ....kama dsm hapa wanawake wajanja mpaka mzuka
Madanga waandamizi sasVisit RwandaView attachment 2386404
Bongo wanawake wazuri kinoma kwa kweloKbsa yaani dar Kuna pisi balah lkn mijitu inakimbilia rwandaa kuoa bully shiti
Nimemjibu alichostahili,Mbona matusi tena jamani? I thought we were having a casual conversation. Kumbe it's personal?
Tofauti iko mkuu yan km hauko imara unaweza ukatema wazungu kwa mapaja watoto wanajoto hatari ...yan ukishaanza kusogea eneo la hifadhi tuu..........Tamu kivipi?kuna tofauti yeyote na za kibongo.
Ndoa chali. Mke tayari ana boyfriend mpya wapo zao paris wakila bata
Mazee, wanawake wa kitutsi ni wazuri mno, hili liko wazi kabisa. Hayo mengine ni wivu na majungu tu. Humu ndani hata wanawake wa kichagga huwa wanasimangwa sana, lakini ndiyo wanaongoza kwa kuolewa.Kumbee mam ake Ni mtutsi bhna vzr ila wandewa wanasema ameshapokea za uso ila uzuri yule jama hakututambia huku mtandaoni alijikausha ndio maan hat ishu yake haijafahamika
Mwaka huu nimewekwa kikao mara mbili na wazee. Unaoa lini?[emoji23][emoji23][emoji23] unataka kuoa ?
Sasa Dina, kwani wabongo ndio hawaachani?
Tujitahidi tu kuheshimu maamuzi ya watu wengine, waliamua wao kuwa pamoja na kupata mtoto na sasa yamewashinda kila mmoja kaamua kula 50 zake
Mzee mwenzangu yakwako bado Iko imara au shake well before use? Ndoa zinapita wakati mgumu sana hichi kipindi.
Imara kama simba...
Aisee,nahisi kama mambo mengine ni akili yako tu inakutega,kwa uzuri wa sura na muonekano ni kweli wazuri haswa ila hayo mengine ngoja nisubiri na wadau wasemeTofauti iko mkuu yan km hauko imara unaweza ukatema wazungu kwa mapaja watoto wanajoto hatari ...yan ukishaanza kusogea eneo la hifadhi tuu..........
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana. Ni jambo la kheri Kaka.
Nafurahi Kwa hizo taarifa nzuri.
Huyu Mwamba AY hakua mtu wa makuu na so humble tukiwa shule, ni Bahati mbaya sana wimbi na dhoruba vimeengua na kusomba ndoa yake
😂😂😂😂😂 jf inakuchanganya kila sehem usioe wakati wao wanaoa kimya kimya kimya,achana nao usisikilize ya jf humu watu ni mashujaa wa keyboardMwaka huu nimewekwa kikao mara mbili na wazee. Unaoa lini?
Nikiingia JF, nakutana na walimwengu na nyuzi zao "Vijana msioe".
Yani tafrani tupu. Ila sina budi kuyavaa mabomu!
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Auntie hizi habari za lini??
Btw i miss u
Sasa huyu anatofauti gani na wamarangu na wambulu?Visit RwandaView attachment 2386404
Mna wa overrate Sana kiukweli.hapo Sasa Kuna Maajabu yepi Tanzania hayapo?View attachment 2386813
Muda mwingine wanaume tunalaumiwa bure tu wanawake kama hawa kweli unaweza kuacha kuoa akikubali? Mambo ya kuachana ni matokeo hata wabaongo kwa wabongo wanaachana tu sema kasumba yetu watanzania tunafurahishwa na matatizo ya watu wengine hasa tunaowafahamu kuanzia familia hadi jamii, mtanzania anachukua muda mrefu sana kukupa pole lakini kama ni jambo la kukupa hongera atachukua muda mfupi mno kwa roho yake mbaya ya kichawi.
Walimwengu hawakosi la kusema. Ngoja nipambane na hali taratibu![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jf inakuchanganya kila sehem usioe wakati wao wanaoa kimya kimya kimya,achana nao usisikilize ya jf humu watu ni mashujaa wa keyboard