Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Umepata riziki mzee? Maana njaa hukata mishipa ya fahamu.
Agayaa!!!!!!!Nywanoko benywe
LONDON BOY
Haaaahaaaa wew Dogo majungu hayo[emoji1] [emoji1]Wanawake wa bongo endeleen kufuga makucha kama jini, endelea kukuza makalio na kusuka mawigi waume zenu bado hawajazaliwa na mtakuja kuolewa na wajukuu zenu
Nywanoko benywe
LONDON BOY
Aman iwe nanyi wakuu katika bwana
Kama kichwa cha habar kinavyosomeka hapo juu
MSANII wa kizaz kipya Ambwene yesaya siku ya leo amafunga ndo na mkr wake mnyarwanda na ndo hiyo imefungwa kimila huko nchin rwanda
Mke wa msannii huyo ana master ya ENGINEER
Watu hao wamedumu kwenye uchumba kwa muda wa miaka kumi sasa
Wema sepetu ana miaka 22 wakati huo huo kidoti ana miaka 21Wamekusikia ban, wacha waendelee kurudusha miaka nyuma na kuigandisha ili wasionekane wakongwe!!.
Watu wanapenda Umri mdogo [emoji23][emoji23] achen aiseee... Kuna watu miaka nenda miaka rudi wapo 20s hahahaah
Hahahahah yaan balaaWema sepetu ana miaka 22 wakati huo huo kidoti ana miaka 21
Ndo hapo hata mm nashindwa kuwaelewa kbsaUs.enge huu.
Mwanaume utafungiaje ndoa ukweni??
Umeoa au umeolewa??