Hatari sana, kuachana inaweza isiwe ajabu Sana, Ila tatizo ni kwamba sherehe zao zilikuwa na mbwembwe Sana na hawajadumu muda mrefu walau hata wangevuta miaka 5, Alikiba nae ni yale yale,, dohNdoa chali. Mke tayari ana boyfriend mpya wapo zao paris wakila bata
Watu wanavuka mabara kurudi home kuoa wao wanajifanya kuoa majirani acha wakomeWashaachana walijifanya kwenda kuoa nje ya Tanzania wote wameachika rudin nyumbani kumenoga
Acheni wivu [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Watu wanavuka mabara kurudi home kuoa wao wanajifanya kuoa majirani acha wakome
Watu wanavuka mabara kurudi home kuoa wao wanajifanya kuoa majirani acha wakome
Hao watutsi hasa wazaliwa wa Rwanda na nchi zingine mbali na waliozaliwa Tz ni very complex na maisha yao yako structured kama wazungu tuseme kama robot, kwa sisi kibongo bongo ni ngumu sana kuishi nao.Washaachana walijifanya kwenda kuoa nje ya Tanzania wote wameachika rudin nyumbani kumenoga
Laana ya kukataa dada zenu, na badoAcheni wivu [emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
Uchi ni ule ule tuLaana ya kukataa dada zenu, na bado
Za kinyaru ni tamu, tatizo hawajui kuwahandle km sie tunavyowanyenyekea mbali na kupigwa matukioUchi ni ule ule tu
Aiseee wanume wa bongo ifike mahali mkubali mnamatatizo.Wanawake wa kirwanda siyo kabisa
Wanawake wa kirwanda we piga na kuacha,au uwafanye chombo cha starehe tu
Ova
Siku hizi ni vurugu tupu, uoe nyumbani uoe ugenini shida ipo pale pale tu!Wakome kabisa [emoji28][emoji28] waoe nyumbani
Washaachana walijifanya kwenda kuoa nje ya Tanzania wote wameachika rudin nyumbani kumenoga
Waoe nyumbani bana1. Ben Pol - Chali (Kenya)
2. Kibakuli - Chali(Kenya)
3.Yesaya - Chali(Rwanda)
Ila kweli kuoa mtu nje ya jamii yako kumatch inakuwa ngumu sana ,imagine AY ni bilionea ,mkewe mzuri why hawajaendana? Inakuwaje ghafla tu mkewe awe na boyfriend mpya na waende paris ,means mkewe alikuwa kicheche.
πππSiku hizi ni vurugu tupu, uoe nyumbani uoe ugenini shida ipo pale pale tu!
sanaaHahaha Nyumbani Kumenoga π π
Kumbe AY ameshakuwa bilionea!1. Ben Pol - Chali (Kenya)
2. Kibakuli - Chali(Kenya)
3.Yesaya - Chali(Rwanda)
Ila kweli kuoa mtu nje ya jamii yako kumatch inakuwa ngumu sana ,imagine AY ni bilionea ,mkewe mzuri why hawajaendana? Inakuwaje ghafla tu mkewe awe na boyfriend mpya na waende paris ,means mkewe alikuwa kicheche.
Hapo kwenye 'bilionea' naomba maelezo kidogo1. Ben Pol - Chali (Kenya)
2. Kibakuli - Chali(Kenya)
3.Yesaya - Chali(Rwanda)
Ila kweli kuoa mtu nje ya jamii yako kumatch inakuwa ngumu sana ,imagine AY ni bilionea ,mkewe mzuri why hawajaendana? Inakuwaje ghafla tu mkewe awe na boyfriend mpya na waende paris ,means mkewe alikuwa kicheche.
Hapo kwenye 'bilionea' naomba maelezo kidogo
Kumbe AY ameshakuwa bilionea!
Hatari sana, kuachana inaweza isiwe ajabu Sana, Ila tatizo ni kwamba sherehe zao zilikuwa na mbwembwe Sana na hawajadumu muda mrefu walau hata wangevuta miaka 5, Alikiba nae ni yale yale,, doh
Watu wanavuka mabara kurudi home kuoa wao wanajifanya kuoa majirani acha wakome
Mhhhh, nanyi acheni nongwa zenu bwana. Ndoa siyo rahisi kama mnavyofikiria, hata kama utaolewa na mtanzania mwenzako bila hata mbwembwe. Tukiwa mitandaoni na vijiweni ni rahisi mno kuponda, lakini mkishaingia ndani, Hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Bagosha!, Ndiyo mtaelewa vizuri.Wakome kabisa [emoji28][emoji28] waoe nyumbani
Nina ndugu kak angu kaoa mnyarwnda wa kitutsi namuonea huruma bwan kamugishaNdoa chali. Mke tayari ana boyfriend mpya wapo zao paris wakila bata