Waafrika tumeumbwa kiunyama Sana wivu unawafanya watu kuwa wachawi.
Mkuu suspension kwa range lover sio tatizo kwasababu yanatumia upepo kwenye suspension sio mtalaam sana nazani watalaam wanaweza kunisahihisha
Hivyo, mimi naamini roho mbaya ni hulka ama tabia tu ya mwanadamu bila kujali race yake...
Jana limeona gari kama hilo pale opossite na millenium tower likiwa linauzwa 49milion. Atakayepata muda kesho apite lipo kandokando ya barabara na bei ipo kwenye kioo cha mbele.
Ni kweli hayo magari sio issue...kama vp tuonyesheni ghorofa lake tumpe heshima.
Hi All,
si kwamba 35m ni ndogo la hasha tulishaaminishwa zamani kwamba Range Rover bei zake ni kubwa sana zaidi ya 150m ila nlichosemaa kwa sasa hata ukiwa na 35m unaiweka barabarani,na kwa ushaidi kama alivyosema uaminifu ipo millenium tower inauzwa 49m bei ya kuaanzia ukibargain unaweza mkafika hadi hiyo 35m.Kuna Range pia za clone kama alivyosema shark.
Cc: Rutta,Shark,Deo Cerleone.
Maajabu kuna watu huwa wanamponda Daimond watu wale wale leo wanawaita wenzao wachawi kisa wanamponda A.Y vipi yule msanii wenu hana jipya tuliongelee??????????? au munasubiri Tigo wambebe au Fiesta
Hanaaa ghorofaa aache kusafirii ajenge ghorofa! Hizoo mambo wamuachie jux yeyee aendelee kupangisha pale kwenye nyumba za kota tuu.
Jana limeona gari kama hilo pale opossite na millenium tower likiwa linauzwa 49milion. Atakayepata muda kesho apite lipo kandokando ya barabara na bei ipo kwenye kioo cha mbele.
Ni kweli hayo magari sio issue...kama vp tuonyesheni ghorofa lake tumpe heshima.
Hi All,
si kwamba 35m ni ndogo la hasha tulishaaminishwa zamani kwamba Range Rover bei zake ni kubwa sana zaidi ya 150m ila nlichosemaa kwa sasa hata ukiwa na 35m unaiweka barabarani,na kwa ushaidi kama alivyosema uaminifu ipo millenium tower inauzwa 49m bei ya kuaanzia ukibargain unaweza mkafika hadi hiyo 35m.Kuna Range pia za clone kama alivyosema shark.
Cc: Rutta,Shark,Deo Cerleone.
Hazina issue hizo hata 35m unapata,weka ghorofa lake tulione.