Msanii Barnaba atanisamehe katika hili

Msanii Barnaba atanisamehe katika hili

Kuna wasanii na wanamuziki, mtu yeyote anaweza kuwa msanii ila ni ngumu sana kuwa mwanamziki.

Barnaba, Damian Soul Na Grace Matata ni miongoni mwa wanamziki wachache tulionao katika nchi hii.

Ukiupenda mziki, utampenda Barnaba.

Lover boy, I'm sorry, Isweke, Tunafanana na washa ni miongoni mwa vibao hatari sana kutoka kwa huyo Mwamba.

Ila huwa sivutiwi na lifestyle yake.
Hii comment ikafanyiwe lamination na kubandikwa ukutani kwa kila mpenda mziki mzuri.[emoji868][emoji868][emoji868][emoji118]
 
Barnaba, Damian Soul Na Grace Matata ni miongoni mwa wanamziki wachache tulionao katika nchi hii.

[emoji117]Hao sio tu ni wasanii bali ni classic artists kama mwenyewe barnaba anavyojiita, nimewahi kuwa karibu na grace, kama unaujua mziki wake basi mwenyewe hasikilizi mziki mwengine wowote kwa concentration zaidi ya ule anaoimba yeye, nyimbo nyengine anazosikiliza ni zile tu soul songs kwa sababu ndio nyimbo zake, ziwe za kiingereza au kiswahili, yuko very classic. Lakini kwa wasiopenda nyimbo zake wataona tu anawapigia kelele.
 
Huyu Barnaba si ndio ameolewa juzijuzi hapa?
 
Back
Top Bottom