Msanii Chid Benz akamatwa tena na dawa za kulevya

Inamaana Biashara ya Madawa ya Kulevya inaendelea kwa kasi kuliko zamani ile duh!
 
af ndo siku iyo iyo alipotumbuiza kwenyr tamasha pale taifa kumbe alivotoka pale ndo akakutwa akiuza madawa duuuh
 
af ndo siku iyo iyo alipotumbuiza kwenyr tamasha pale taifa kumbe alivotoka pale ndo akakutwa akiuza madawa duuuh
 
Lakuvunda halina ubani...ujanja mwingi mwingi mwisho wake majanga.Pole Chid Benz. Hauimbi tena...hausikiki tena kwa mazuri bali mambo yasiyo faa. Kama utapata wasaa jaribu kujikumbusha kwamba ngoma ikilia sana huwa inapasuka

Ni mimi nduguyo, Rogojin The Idiot
 
Sasa nafikiri wale mliokuwa mnawapa Lawama Tale kuachana kabisa kumsaidia huyu.mzigo mtakuwa sasa mmemuelewa Tale..

Huyu Chidd nafikiri jela ndio itamfunza zaidi kuliko kupeleka Soba...
Huyu ni kichwa cha mwenda wazimu kabisa...
kwakweli kiusalama wake wangemfunga hata miaka mitatu tu
 
Hawa serikali ndo inawalea sana, au kwakuwa wengi walizungunga na mgombea urais wa chama tawala 2015? Walipaswa kuwa gerezani hawa. Mi nashangaa serikali inahangaika kuwapeleka kwenye rehab...... Weka Segerea tu huyu!!!
Segerea atakufa na arosto, nina bro wangu alikufa early 2000's R.I.P Yusuf (MAKAMBA) alikuwa anasumbua sana baada ya kujiingiza kwenye ulaji ngada. Anapelekwa special care anaondolewa sumu anakuwa freshi kisha baada ya muda anatoroka home anaeda kunyeta, ikafikia stage akaanza udokozi wa vitu ndani mikanda ya mzee, viatu anaenda uza ili apate unga. Mara jirani akalalamika ameibiwa redio yake na anahisi Yusuf ndo kaiiba, ikawa msala...

Baada ya mzee kuchoka hio tabia ya kumuonya na mtu hasikii akamsusia polisi wakamtia ndani. Mpaka kufikia two weeks alizidiwa sana polisi wakamuachia huru arudi home. Hakumaliza week la 3 akawa kasha udanja!

So kumtia ndani bila kumtoa sumu mwilini jua anaenda kujifia huyo jamaa. Na ubaya jamaa huwa hawasikiagi hao yani wanakuwa kama wana laana!
 
Kwa hapa jamaa alipofika inabidi gwajima nae atoe mchango wake
 
umeongea sana KAKA...MADAWA KUACHA NI MTIHAN SANA HASA KWA MTU KAMA BENZ...AMERUDI MAZINGIRA YALEYALE .......KUNA MWAFLAN NAE MI NAMUHESABIA MIAKA TU LAZIMA ATAREJEA TENA.
 


Watoto wenu wakiguswa ndio mtamkumbuka Makonda kuwa alikuwa akifanya jambo la maana kupambana na wauzaji wa madawa kwani ni wauwaji hawa watu..
 
umeongea sana KAKA...MADAWA KUACHA NI MTIHAN SANA HASA KWA MTU KAMA BENZ...AMERUDI MAZINGIRA YALEYALE .......KUNA MWAFLAN NAE MI NAMUHESABIA MIAKA TU LAZIMA ATAREJEA TENA.
mwana wa mwenzio muombee mema sio useme unamuhesabia miaka fulani atarudia....omba Mungu amuepushe
 
Huyu jamaa sasa kwisha habari yake duuh kweli ngada mbaya sana, amtafute Ray C ampe siri ya mafanikio yake.

Determination, hayuko determined.
Rayc alikuwa na lengo akaanguka kanyanyuka tena. Ni kazi ngumu sana kuacha madawa, kama huna nia unachemka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…