Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,570
- 2,076
Aisee roho yangu imeumia saana..Dah.... Kumbe ndio ilikuwa siku yake ya mwisho
Eeh I'm a super star kwe Justin Bieber,Michael Jackson nabo Drake izinja...eh abo Maphorisa...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee roho yangu imeumia saana..Dah.... Kumbe ndio ilikuwa siku yake ya mwisho
Nilitaka nisema ila kwa vile umesema siongezi neno..labda kuongez ongeza tu vinyama ni kwamba..Ey my Young brothers Fame It Kills, make sure You put God First📌..jamaa alivuma chap sana then imekuw mda mfupi kakata Anyway..Shetan amepitaaVijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Hongera kwa kubadili IDDaaaAah
😂😂😂 Kumbe mlikua mnanichora 🤔Hongera kwa kubadili ID
Ulikua unajichongea njia yako ya kwenda kwa mdg ako😂😂😂 Kumbe mlikua mnanichora 🤔
Mungu baba nisamehe nimekosaUlikua unajichongea njia yako ya kwenda kwa mdg ako
HakikaMungu baba nisamehe nimekosa
Hii dunia kuna watu wanakera aazingirababa babba hapoulipo
Ahsante kwa hongera natumai sasa nitakuwa na njia peponi
Tupe storyYeah
Wanadamu wamejaa chuki sana
Sitaki kukumbuka mapito aliyopitishwa na wafanyakazi wenzake mtu wangu wa karibu
Kwakweli.Mchizi alikuwa anaifanya poa sana amapiano
Ile walimbadilishia mic [emoji441]Papaa Wemba alianguka ile kabisa mazima wimbo anaimba upo ntaweka akakata moto jukwaani🥲
I've got the same thoughts!Najairibu kuelezea jinsi life lilivyo delicate and very unfair for some people
Nakaribia kuishi mara mbili ya umri wa 2pac, halafu sina impact au legacy yoyote ya maana nitakayoiacha kwa jamii niliyoishi!!! , Why the good die young? That's very disturbing!!
Acha upuuzi mkuu hakuna nyimbo za kidunia wala za kimungu,hayo maimani yenu muwe mnachanganya na akili zenuUliambiwa nyimbo za kidunia ni za Mungu?,au mnapenda kubishana bila sababu za msingi?,amefariki kwenye stej anaimba mambo ya duniani,hapo watu wamevaa uchi 99,%,walevi wa pombe sigara humo,wanao zini,kubambiana humo yaani kila aina ya uchafu huwa inapatikana humo,afu unabisha nn Sasa?
Kuna kitabu chochote cha dini kimehalalisha kula mrenda,ugali au wali!? Reasoning capacity yako ni 0.5%Hata Kama haileweshi,Kuna kitabu chochote Cha dini inayo mwamini Mungu wamehalalisha sigara?hata Kama mtu ulikuwa una mkubali ila Kuna mda ukweli usemwe wengine wajifunze.
Maskini.kifo kibaya hikiView attachment 2546922
Taarifa zilizothibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.
Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:.
200%Drugs? Au