TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Najairibu kuelezea jinsi life lilivyo delicate and very unfair for some people
Nakaribia kuishi mara mbili ya umri wa 2pac, halafu sina impact au legacy yoyote ya maana nitakayoiacha kwa jamii niliyoishi!!! , Why the good die young? That's very disturbing!!
Bado muda na nafasi unayo, endelea kutafuta na kuseti channel t blj
 
Jamaa hakua sawa pale on stage sijui kwanini hawakugundua kabla?, Yaan kamdondokea hadi yule body guard mara ya kwanza akamuinua hajagundua tu kwamba jamaa hayupo sawa?

Hapa jamaa alianguka ndio shida ilianzia wakamuinua,
View attachment 2546890
Alipotembea kidogo akaenda wanapopuliza gesi ile ya jukwaa ile mimoshi
View attachment 2546892
Sasa hapa kwenye mimoshi ndio jamaa alipokosa pumzi ukiangalia unaona kabisa jamaa
View attachment 2546893
Kingine ukiangalia unaweza sema ni on stage km alivyoanguka Papa Wemba lakini titch amedondoka kutoka juu ya jukwaa mpaka chini
Mkuu yote uliyoandika hapa ni kwa akili zako za kibinaadamu kifo kikija kwa mtu yote haya utayajua ameshapoa.

Mwaka fulani nikiishi Tandika,kuna jamaa tulikuwa tunakaa nae maskani jioni baada ya kutoka kwenye mihangaiko ilikuwa usiku wa saa mbili,alinyongwa na kamba ile ya kuvutia gari tena kwenye barabara ya vumbi ya mtaani ile Canter haikuwa hata speed 20 ila sisi jamaa baada ya kujipiga ngwala kwenye kamba iliyokuwa kati ya gari na gari tukagawanyika makundi mawili hawa kwa gari inayovuta kumwambia asimame wengine kwenye gari inayovutwa kumwambia driver asimame asimkanyage zoezi lilipokamilika kwenda alipo mtu tunamkuta anagohoa ile ya mwisho kamba imemkaza haielezeki.

Tukaanza kulaumiana kwanini wengine hatukwenda alipokuwa marehemu?mwisho wa siku ktk maisha kuna situations zipo nje ya uwezo wetu muumba akishaamua na jamaa alikuwa anavuka upande wa pili kuchukua sigara tu na upande tulikuwa tumekaa duka lipo but just kule ng'ambo aliacha change yake 300 hakurudi tulipokuwa tumekaa.
 
Back
Top Bottom