Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #281
Hizi circle tuzunguka ni hatarii Sana.Too young to die
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi circle tuzunguka ni hatarii Sana.Too young to die
Ni sawa, Kama inakupa nafuu ila hatupo hapa kushindana. Hope utamkumbusha baba yako pia.Una upumbavu, usipuuzwe.
Bado muda na nafasi unayo, endelea kutafuta na kuseti channel t bljNajairibu kuelezea jinsi life lilivyo delicate and very unfair for some people
Nakaribia kuishi mara mbili ya umri wa 2pac, halafu sina impact au legacy yoyote ya maana nitakayoiacha kwa jamii niliyoishi!!! , Why the good die young? That's very disturbing!!
EpilepsyDrugs? Au
Nakuelewa , ila inakera sanaMkuu ishi tu maana kuishi ni bahati.
Jamaa ndo ana miaka miwili kwenye game daahMchizi alikuwa anaifanya poa sana amapiano
Mkuu yote uliyoandika hapa ni kwa akili zako za kibinaadamu kifo kikija kwa mtu yote haya utayajua ameshapoa.Jamaa hakua sawa pale on stage sijui kwanini hawakugundua kabla?, Yaan kamdondokea hadi yule body guard mara ya kwanza akamuinua hajagundua tu kwamba jamaa hayupo sawa?
Hapa jamaa alianguka ndio shida ilianzia wakamuinua,
View attachment 2546890
Alipotembea kidogo akaenda wanapopuliza gesi ile ya jukwaa ile mimoshi
View attachment 2546892
Sasa hapa kwenye mimoshi ndio jamaa alipokosa pumzi ukiangalia unaona kabisa jamaa
View attachment 2546893
Kingine ukiangalia unaweza sema ni on stage km alivyoanguka Papa Wemba lakini titch amedondoka kutoka juu ya jukwaa mpaka chini
Yani nachoka kadondoka akainuka akaanguka tena, aisee kifo[emoji22]Ila kifo nyie acheni tu,mtu amedondoka anarusha rusha miguu uhai unamtoka watu wanazidi kushangalia wanadhani amekuja na style mpya kumbe mwenzao mwendo ameumaliza
Wanakuja wanakuja 😂😂🏃♂️Uyu mwamba nime toka kuchat nae jana tu dah
Huyu jamaa Nelson Jacob lushasi ana ujuaji wakijinga sana halafu anajikuta mjuzi.Dah!! Vitu vingine mnaandika sijui mnakua bangeee!!
Dah.... Kumbe ndio ilikuwa siku yake ya mwishoEee bwana eeh..jana nilikuwa na madogo wangu home tunacheza ngoma ya Super star.
Wanangu wanaipenda sana.