Andazi
JF-Expert Member
- Jul 30, 2022
- 1,113
- 2,234
Ngoja niitoeNaona umebadirisha ID sasa ngatua na hio avatar au ndio wewe unaesema Yesu Kristo ni mtumishi wa Shetani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja niitoeNaona umebadirisha ID sasa ngatua na hio avatar au ndio wewe unaesema Yesu Kristo ni mtumishi wa Shetani?
Alikuwa mshikaji wa AKA sijui nini kimewapata wanaondoka mfuatanao wenzao walitangulia kabla
Usibadili iache! Inakupendeza sana tuHii ID inaniletea shidaa saana nabadili
He is talking the naked truth, shida inakuja kuwa nyie ma intellectuals hamuamini kama smart guys wanaweza toka kwenye low class , unaona hapo umesha mu asocciate na bangi, wala hujataka kuuliza his side of the story, unahitimisha tu!!⁸Dah!! Vitu vingine mnaandika sijui mnakua bangeee!!
Kama definition ya "smart" kwenu ni u-gang star sawa.He is talking the naked truth, shida inakuja kuwa nyie ma intellectuals hamuamini kama smart guys wanaweza toka kwenye low class , unaona hapo umesha mu asocciate na bangi, wala hujataka kuuliza his side of the story, unahitimisha tu...
UshachelewaUsibadili iache! Inakupendeza sana tu
Ile ilikuwa ni spiritual meaning alipofanya last super yaani karamu yake ya mwisho baada ya kula akawaagi marafiki zake alikuwa akiwaaga kabla ajapigwa risasi.Wereva I go you gooo
Hivi mpaka leo hakuna aloshukiwa hata mmoja?Ile ilikuwa ni spiritual meaning alipofanya last super yaani karamu yake ya mwisho baada ya kula akawaagi marafiki zake alikuwa akiwaaga kabla ajapigwa risasi...
Mkuu , tunaamini binadamu anapata akili ya maamuzi kamili akiwa na miaka 18.Hakuna namna 2pac alikuwa smart kuliko Martin Luther king Jr au Malcom x. Hilo halikuwahi kutokea.
😀😀😀.
Yule mwanamke aliyekaa meza ya chini hotelini akila alivaa kofia ya pama nyeupe alivaa t-shirt na suruari nyeupe ndie aliyempiga risasi AKA,ndie yule aliyekimbia,hata nje pana mtu alikuwa kwenye mission moja akijua thus alikuwa akirandaranda amalizi mizunguko yake nje wakati AKA anawaaga wenzake.Hivi mpaka leo hakuna aloshukiwa hata mmoja?
Ganster is a way of life,Kama definition ya "smart" kwenu ni u-gang star sawa.
Nimeangalia hata sijaona nimeona mwanamke wa kizungu hajavaa kofiaYule mwanamke aliyekaa meza ya chini hotelini akila alivaa kofia ya pama nyeupe alivaa t-shirt na suruari nyeupe ndie aliyempiga risasi AKA,ndie yule aliyekimbia,hata nje pana mtu alikuwa kwenye mission moja akijua thus alikuwa akirandaranda amalizi mizunguko yake nje wakati AKA anawaaga wenzake.
Yule mwanamke aliyempiga risasi akakimbia si ndio huyo alikuwa amekaa mgahawani chini.Nimeangalia hata sijaona nimeona mwanamke wa kizungu hajavaa kofia
Kwa hiyo hajakamatwa mpaka sasa