MUNGU kampa mwanadamu freewill achague mwenyewe nini anatakaNa wakati huo Shetland anawawahi Mungu anakuwa wapi? Au unatak kusemaje?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MUNGU kampa mwanadamu freewill achague mwenyewe nini anatakaNa wakati huo Shetland anawawahi Mungu anakuwa wapi? Au unatak kusemaje?
Hakuna spana yoyote ila mmekutana wajinga mnaoamini conspiracy theories mnaunganisha ujinga wenu ili mtengeneze ujinga mkubwa zaidiInatosha bichwa komwee, umepiga spana[emoji38]
Huelewi unachokizungumza! Umesema shetani huwa anawawahi ili wasije kubadilika ndio nikakuuliza wakati shetani anawawahi Mungu yeye anakuwa wapi?MUNGU kampa mwanadamu freewill achague mwenyewe nini anataka
Kakuuma au alikuwa crush 😍Kaniuma huyu kijana [emoji24][emoji24]
Hao ndio aina ya MADOKTA TAMBI TAMBI / MAUCHWARA yanayodunga watu machanjo ya ajabu bila kufanya CLINICAL DUE DILIGENCE.Ukiambiwa madai jichunguze. Siyo unaleta tena ubishi ubishi
Kakuuma au alikuwa crush 😍
Ukimuacha Mungu nae anakuachaHuelewi unachokizungumza! Umesema shetani huwa anawawahi ili wasije kubadilika ndio nikakuuliza wakati shetani anawawahi Mungu yeye anakuwa wapi?
😂😂😂😂😂😂 mbona mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] bichwa komwee kumbe ni mkorofi hivi
Wacha nimshughulikie huyu DOKTA UCHWARA anayeganga njaa kwa kupiga porojo kama mganga wa kienyeji.Inatosha bichwa komwee, umepiga spana[emoji38]
Andiko la wapi hili mkuu ? Au na wewe ulikandwa kichwa?Ukimuacha Mungu nae anakuacha
Dahh, mwana alidondoka mara ya 1 akainuka, mara ya 2 naona ndo ikawa 1 kwa 1, R.I.P CostaTView attachment 2546922
Taarifa zilizothibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.
Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:[emoji117]
[emoji117] Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu.
Miongoni mwa kazi zake zilizo vuma ni goat, super star, Mr big flexa, ma gang na nyinginezo.
Mwenyezi MUNGU, aipumzishe roho ya marehemu, mahali pema[emoji120][emoji120].
View attachment 2546885
View attachment 2546923
Matatizo ya kukandwa kichwa ukiwa mdogo ndio haya tunayaona leo. Waelimishe na wenzio kuwa ukimkanda kichwa komwe mtoto unakandamiza ubongo wa mbele na matatizo yake ndio unakuwa zezeta ukubwani km weweWacha nimshughulikie huyu DOKTA UCHWARA anayeganga njaa kwa kupiga porojo kama mganga wa kienyeji.
Hana DEATH REPORT wala hana taarifa yoyote rasmi lakini kashadandia habari juu kwa juu...
😂😂😂 Hatariii sanaMpaka ukasahau Wokovu wa Yesu Kristo