Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 50,587
- 71,492
Wasanii wengi waliingia kwenye addiction kutokana na kutumia drugs ku_hype mwili kutokana na uchovu wa ratiba ngumu na ndefu. Sio poa.
Naona alikuwa ana kifafa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wasanii wengi waliingia kwenye addiction kutokana na kutumia drugs ku_hype mwili kutokana na uchovu wa ratiba ngumu na ndefu. Sio poa.
Mambo ya hukumu aachiwe anayehukumu. Tunapenda sana kumpachika muumba picha ya kutisha. Jitu flani hivi liuaji. Wewe umeumbwa kwa mfano wa MUNGU, ukipewa kazi ya kumuhukumu huyo kijana ungemchoma moto sababu alifia stajini na nywele zina rangi?"popote mlipo yatakufikeni mauti ijapokuwa mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti...."
Qur'an 4:78
Eeh itakuwaje unarudi kwa muumba wako una nywele za kijani mchanganyiko pink, umejichora tatoo mwili mzima, umefikwa na umauti stejini ukifanya show isiyoeleweka hata inahusu nini, hivi ndugu zangu namna hii ndio mwisho wa mwanadamu unapaswa kuwa?.
إنا لله وإنا إليه راجعون
Mimi sio hakimu, isipokuwa kuna viashiria vya kufa vibaya hapo nadhani hata wewe unaelewa ila unataka tu ubishani.Mambo ya hukumu aachiwe anayehukumu. Tunapenda sana kumpachika muumba picha ya kutisha. Jitu flani hivi liuaji. Wewe umeumbwa kwa mfano wa MUNGU, ukipewa kazi ya kumuhukumu huyo kijana ungemchoma moto sababu alifia stajini na nywele zina rangi?
Ati PRESHA!Kwa unene ule hakosi presha huyu
Hovyo sana 😂Mambo ya hukumu aachiwe anayehukumu. Tunapenda sana kumpachika muumba picha ya kutisha. Jitu flani hivi liuaji. Wewe umeumbwa kwa mfano wa MUNGU, ukipewa kazi ya kumuhukumu huyo kijana ungemchoma moto sababu alifia stajini na nywele zina rangi?
Hiyo HEART ATTACK uliipima au unajipachika UDOKTA TAMBI TAMBI tu hapa?it’s obviously a heart attack sasa wew unaanza kuleta stories
MAHAKIMU UCHWARA hawa!Binadamu tunajua kuhukumu
Ndo nakuuliza sisi si tumeumbwa kwa mfano wa MUNGU na ni watoto wake? Mwanao akirudi kwako akiwa mchafu unamchoma moto sababu hutaki uchafu?Mimi sio hakimu, isipokuwa kuna viashiria vya kufa vibaya hapo nadhani hata wewe unaelewa ila unataka tu ubishani.
Hiyo sumu unayosema au freemasonry una ushahidi wowote zaidi ya kuwa empty mind? Kwa taarifa yako ischaemic heart disease zinaua sana vijana na huwa vifo vyake vinatokea ghafla na dalili zake ni mtu kukosa hewa na kuanguka km ilivyotokea kwa jamaaHiyo HEART ATTACK uliipima au unajipachika UDOKTA TAMBI TAMBI tu hapa?
Usihukumu maana mwenye dhamana hiyo ni Mungu mwenyewe! Huoni unakufuru kwa kuingilia majukumu yasiyo yakoVijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Pombe, Madawa, MagonjwaDaaa mbona hivii vijana wadogo wanakufa mapema tu inasikitisha sana
Huna hata DEATH REPORT kutoka kwa QUALIFIED MEDICAL EXPERT lakini umeshahitimisha kafa kwa HEART ATTACK!!Hiyo sumu unayosema au freemasonry una ushahidi wowote zaidi ya kuwa empty mind? Kwa taarifa yako ischaemic heart disease zinaua sana vijana na huwa vifo vyake vinatokea ghafla na dalili zake ni mtu kukosa hewa na kuanguka km ilivyotokea kwa jamaa
Pombe, Madawa, Magonjwa
Mkuu BICHWA KOMWEE possibly ubongo wako wa mbele umejaa hewa au walijaribu kukukanda kupunguza komwe wasijue wanagandamiza na kuharibu ubongo wako wa mbele unaotumika kufikiria na matatizo yake ndio haya sasa tunayaona leo! Poor reasoning na kufikiri kwa chuki na kupenda uloziHuna hata DEATH REPORT kutoka kwa QUALIFIED MEDICAL EXPERT lakini umeshahitimisha kafa kwa HEART ATTACK!!
Na kwa jinsi nyie mlivyo MAGOIGOII na MAZEZETA, n rahisi sana mtu kufanyiwa jambo baya lakini pakawepo watu wa kusema ni HEART ATTACK.
Kuna wale MATAPELI wakatuambia MAGUFULI sijui HANA BETRII... UPUMBAFU!!
Tukiwa na taifa lenye MAHOVYOHOVYO wengi huwezi kujua hata ukweli ni upi.
Kukariri kariri tu, ati CARDIAC ARREST 😮😮
Haya fungasha wowowo, nyuma geuka tembeaaaa.Mkuu BICHWA KOMWEE possibly ubongo wako wa mbele umejaa hewa au walijaribu kukukanda kupunguza komwe wasijue wanagandamiza na kuharibu ubongo wako wa mbele unaotumika kufikiria na matatizo yake ndio haya sasa tunayaona leo! Poor reasoning na kufikiri kwa chuki na kupenda ulozi
Hebu tuletee takwimu wew kichw@maji. Ulaya magonjwa ya moyo ndio leading cause of death kwahiyo watu kuanguka na kufa ni kitu common kabla hata ya hiyo chanjo. Kweli kuna watu wajinga sn duniani, Waafrika tukiwa tunaongozaKama alichanjwa UVIKO kuna uwezekano mkubwa ikawa sababu.
Ulaya na Marekani wanaoanguka ghafla na kuaga dunia wamechanjwa.
Apumzike kwa amani. 🙏
Huzuni kweli, wapo wale wanafia guest uzinziniInasikitisha,mauti imemkuta anamwabudu shetani 😢😢