Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu japo huwa unatutukana sisi ila sisi tunaishi kwa tahadhari kubwa tunahofia maisha baada ya kufa, ila nakupatia formula moja nitaandika kiarabu kisha nitakupatia tafsiri kwa faida ya wanajukwaa.Mkuu unatutisha ujue maana kuna maisha baada ya kifo
Hiyo sababu tu... Maana Kifo hakikosi sababu.. ila illuminati wamefanya yao...Hata mimi kuna mdau kaniambia heart attack na uzito uliopitiliza.So sad
"Na laiti ungeliwaona malaika wakati wanawafisha wale waliokufuru wakiwapiga nyuso zao na migongo yao {wakiwaambia} na ionjeni adhabu ya moto!"Usisahau ameanguka toka juu ya stage mpaka chini, juu Pana urefu sio km alivyoanguka Papa Wemba si umeona jamaa wanadumbukia chini kwenda kumuokota
Alafu ukiangalia kwa makini unaona km kuna mtu alikua anampiga hadi akaanguka pale jukwaani (Ila haonekani) mazingaombwe, mwisho kule kwenye mimoshi kamsuka adondoke chini ya stage
Madokta wa JF wanatuambia ati ni Cardiac Arrest!!Hiyo sababu tu... Maana Kifo hakikosi sababu.. ila illuminati wamefanya yao...
Msikasirike mandugu... Nawaza tu
Me too aisee...ila acha nikae kimyaI smell something fishy..but anyways R.I.P costa tich
Ujinga huu."Na laiti ungeliwaona malaika wakati wanawafisha wale waliokufuru wakiwapiga nyuso zao na migongo yao {wakiwaambia} na ionjeni adhabu ya moto!"
Qur'an 8:50
Funguka uyaaibishe haya MADOKTA UCHWARA YA JF.Me too aisee...ila acha nikae kimya
Waafrika kwa kuamini mikono ya watu na kushikana ulozi hatujambo! Huyo jamaa namna alivyoanguka na uzito wake it’s obviously a heart attack sasa wew unaanza kuleta stories zako za mikono ya watu. Empty mind. NimekudharauDuu mbna wanakufa sana kuna nn huko south????
Anyway kuna mkono wa mtu si bure
huyo jamaa yako alikuwa eneo la tukio?mbona unakuwa mjinga kiasi hiki?huu uzi huuamini au?Kuna jamaa kanichek whatsup group mda huu huu ila bado siamini naona uongo hapa anadai jamaa alikua na uzito uliopitiliza.Ndio nasikilizia na wengine nihakikishe zaidi.
Mpaka ukasahau Wokovu wa Yesu KristoDuuh! Tusali jamani kijana alikua najua kunifurahisha kwenye amapiano daah huzuni
Tena ilikuwa Ivory coast alienda hukoUlikuwepo mkuu 2016 [emoji848][emoji848][emoji848] kwenye show yake
Naamini Martin Luther king , hakuwa smart kama 2pac , ni vile tu pac alizaliwa na kuishi ghetto
Hakuna namna 2pac alikuwa smart kuliko Martin Luther king Jr au Malcom x. Hilo halikuwahi kutokea.Martin Luther alifeli sababu alishindwa kuwaunganisha wamarekani weusi wote.Hana tofauti na malcom x wote walfeli.Lakini pac na notorious walikua smart guys sema tu walizaliwa kwenye hoods za watu wa kawaida kimapato
😀😀😀.Dah!! Vitu vingine mnaandika sijui mnakua bangeee!!
WIthin a minute umeuliza mtu aliyepo south na kurudisha majibu? Too fast. Kweli technolojia imekua.Wanasema ni kweli mazee wadau wa bondeni kwa madiba.Duuuuuh
Binadamu tunajua kuhukumuVijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Wasanii wengi waliingia kwenye addiction kutokana na kutumia drugs ku_hype mwili kutokana na uchovu wa ratiba ngumu na ndefu. Sio poa.Labda, but i dont think mda wa kazi apate drug tena
Ukifa umelewa, unafika kwa Mola ukiwa unayumbayumba!?"popote mlipo yatakufikeni mauti ijapokuwa mtakuwa katika ngome zilizo madhubuti...."
Qur'an 4:78
Eeh itakuwaje unarudi kwa muumba wako una nywele za kijani mchanganyiko pink, umejichora tatoo mwili mzima, umefikwa na umauti stejini ukifanya show isiyoeleweka hata inahusu nini, hivi ndugu zangu namna hii ndio mwisho wa mwanadamu unapaswa kuwa?.
إنا لله وإنا إليه راجعون
Isipokuwa itazingatiwa ile hali uliyofia, pataandikwa jay jay amekufa akiwa mlevi, so utafufuliwa katika hali uliyofia.Ukifa umelewa, unafika kwa Mola ukiwa unayumbayumba!?