TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Usisahau ameanguka toka juu ya stage mpaka chini, juu Pana urefu sio km alivyoanguka Papa Wemba si umeona jamaa wanadumbukia chini kwenda kumuokota

Alafu ukiangalia kwa makini unaona km kuna mtu alikua anampiga hadi akaanguka pale jukwaani (Ila haonekani) mazingaombwe, mwisho kule kwenye mimoshi kamsuka adondoke chini ya stage
Boy , you are imagining things.
 
Mama mchungaji sio tapeli nilikuja kujua baadae kua yule dada ni mtoto wa mchungaji fulani, baada ya hio siku moja katika pitapita zangu akanitambulisha kwa mama yake Ila Mimi niligoma kua pastor wa mchongo ingawa Bible knowledge imelala kichwani,
Vizuri,asa hapo hukugoma ww bado roho wa Mungu hajaka kwako bado ana mashaka na ww,japokuwa mistari ya Bible unaitahamu.Siku akiona unafaa atakuongoza na hamna utakachopinga.Usisahau kunitag siku ukiwa mtumishi 😆😆
 
Back
Top Bottom