Hawa si wanakunywa madawa... anything can happen with these drugs and the bussines on the stageDah cjui shida nn kaanguka tu jukwaani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa si wanakunywa madawa... anything can happen with these drugs and the bussines on the stageDah cjui shida nn kaanguka tu jukwaani
Boy , you are imagining things.Usisahau ameanguka toka juu ya stage mpaka chini, juu Pana urefu sio km alivyoanguka Papa Wemba si umeona jamaa wanadumbukia chini kwenda kumuokota
Alafu ukiangalia kwa makini unaona km kuna mtu alikua anampiga hadi akaanguka pale jukwaani (Ila haonekani) mazingaombwe, mwisho kule kwenye mimoshi kamsuka adondoke chini ya stage
Vizuri,asa hapo hukugoma ww bado roho wa Mungu hajaka kwako bado ana mashaka na ww,japokuwa mistari ya Bible unaitahamu.Siku akiona unafaa atakuongoza na hamna utakachopinga.Usisahau kunitag siku ukiwa mtumishi 😆😆Mama mchungaji sio tapeli nilikuja kujua baadae kua yule dada ni mtoto wa mchungaji fulani, baada ya hio siku moja katika pitapita zangu akanitambulisha kwa mama yake Ila Mimi niligoma kua pastor wa mchongo ingawa Bible knowledge imelala kichwani,
Kutovaa nguo haijawahi kuwa dhambi ndio maana wazee wetu wa kale walikuwa hawana muda na hayo manguo yenu.Walikuwa hawajafunguliwa,walipofunguliwa walitafuta hata majani wajistili.Nenda kasome maandiko vizuri afu utafakari kwa utulivu,uwelewe vizuri.
Sawaaaaa,basi usivae 🙄Kutovaa nguo haijawahi kuwa dhambi ndio maana wazee wetu wa kale walikuwa hawana muda na hayo manguo yenu.
Suopou ,Hamnywi chai mnakunywa uji mkuu
Ndo kwao!? Mbona unapayuka .!Abidjan unakujua we pumbavu? unawaza Chai we kima kwanza kuna watu hatunywi chai,
Nyie wageni mjini ndio mnatuletea matatizo yote hapa duniani.
Kwao kunaitwa Chai?Ndo kwao!? Mbona unapayuka .!
Somo dogo tu kwako ni kwambaNdo kwao!? Mbona unapayuka .!
Koment yako ningeomba iwekewe pini [emoji419]kabisaVijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Bongo ujuaji mwingi kwahiyo Msanii hawezi kufariki bila kuwepo hao Masonic, Mtaani kwako ni watu wangapi wanakifafa ni masonic?Another Masonic Ritual, Rip