Bueno
JF-Expert Member
- Sep 9, 2022
- 4,114
- 6,449
Huku kumekucha tayari Swala Swala km zote Kwakwiikoo km zote Ila club bado zina bang tu watu wanamwagilia moyo mpaka kuna kucha,Kwao!? Wapi!!?
Kwao na nani!?
Mkuu mbona unataka tugea chai usiku..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku kumekucha tayari Swala Swala km zote Kwakwiikoo km zote Ila club bado zina bang tu watu wanamwagilia moyo mpaka kuna kucha,Kwao!? Wapi!!?
Kwao na nani!?
Mkuu mbona unataka tugea chai usiku..
Dah!! Vitu vingine mnaandika sijui mnakua bangeee!!Martin Luther alifeli sababu alishindwa kuwaunganisha wamarekani weusi wote.Hana tofauti na malcom x wote walfeli.Lakini pac na notorious walikua smart guys sema tu walizaliwa kwenye hoods za watu wa kawaida kimapato
Sasa hio ndio unapiga chini.Kuzindua hakunaga muda mkuu, watu wanazindua tu iwe kabla ya au baada ya au wakati wa ile kitu haina muda maalum
Huo moshi una sumu..na ndo umemuua..Taarifa zilizo thibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.
Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉
👉 Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu.
Miongoni mwa kazi zake zilizo vuma ni goat, super star, Mr big flexa, ma gang na nyinginezo.
Mwenyezi MUNGU, aipumzishe roho ya marehemu, mahali pema🙏🙏.
View attachment 2546885
View attachment 2546891
Abidjan unakujua we pumbavu? unawaza Chai we kima kwanza kuna watu hatunywi chai,Kwao!? Wapi!!?
Kwao na nani!?
Mkuu mbona unataka tugea chai usiku..
Ya Papa Wemba yanaeleweka Ila ulipogusia kuhusu dawa ya minyoo nikasema hio hainaga muda maalum muda wowote hata on stage mtu anaweka kwa mwili bila wasi wasiSasa hio ndio unapiga chini.
Papa wemba haikua mambo kujidunga,afya ilikua mbovu tAyari akapewa deal hilo abidjan pesa mingi kazama.
Ndo kaishia pale.
Alikua ametoka hospitali😶
Hamnywi chai mnakunywa uji mkuuAbidjan unakujua we pumbavu? unawaza Chai we kima kwanza kuna watu hatunywi chai,
Nyie wageni mjini ndio mnatuletea matatizo yote hapa duniani.
Usisahau ameanguka toka juu ya stage mpaka chini, juu Pana urefu sio km alivyoanguka Papa Wemba si umeona jamaa wanadumbukia chini kwenda kumuokotaHuo moshi una sumu..na ndo umemuua..
Kwani wewe umetubu maana hata wewe umauti unaweza kukumba ghafla?Vijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Ulikutana na tapeli tu,Kama matapeli wengineNakumbuka nimekaa zangu sehemu dada mmoja akanifuata akaniambia kijana naona una kitu naomba kuongea na wewe, yaan nafsi yangu inanituma kuzungumza na wewe, nilipojaribu kumdadisi yule dada kumbe lengo lake ananihitaji anitengenezee mazingira kutokana na muonekano wangu eti niwe pastor wa mchongo, nikasema whaaat umesemaje?
Umebaki mpumbavu wewe. Siku zako zinahesabika.Wapumbavu kama hao wakifa ni vizuri
Mama mchungaji sio tapeli nilikuja kujua baadae kua yule dada ni mtoto wa mchungaji fulani, baada ya hio siku moja katika pitapita zangu akanitambulisha kwa mama yake Ila Mimi niligoma kua pastor wa mchongo ingawa Bible knowledge imelala kichwani,Ulikutana na tapeli tu,Kama matapeli wengine
Alizidisha dozi?Taarifa zilizo thibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.
Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:[emoji117]
[emoji117] Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu.
Miongoni mwa kazi zake zilizo vuma ni goat, super star, Mr big flexa, ma gang na nyinginezo.
Mwenyezi MUNGU, aipumzishe roho ya marehemu, mahali pema[emoji120][emoji120].
View attachment 2546885
View attachment 2546891
Inaweza kua pia ni Cardiac arrest.95% sumu
Adam na Hawa walivyoumbwa walikuwa na nguo zipi ?Uliambiwa nyimbo za kidunia ni za Mungu?,au mnapenda kubishana bila sababu za msingi?,amefariki kwenye stej anaimba mambo ya duniani,hapo watu wamevaa uchi 99,%,walevi wa pombe sigara humo,wanao zini,kubambiana humo yaani kila aina ya uchafu huwa inapatikana humo,afu unabisha nn Sasa?
Walikuwa hawajafunguliwa,walipofunguliwa walitafuta hata majani wajistili.Nenda kasome maandiko vizuri afu utafakari kwa utulivu,uwelewe vizuri.Adam na Hawa walivyoumbwa walikuwa na nguo zipi ?
Kama hawakuwa na nguo iweje uone ajabu hao kuvaa nusu uchi kwa 99% ?