TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Kwao!? Wapi!!?
Kwao na nani!?

Mkuu mbona unataka tugea chai usiku..
Huku kumekucha tayari Swala Swala km zote Kwakwiikoo km zote Ila club bado zina bang tu watu wanamwagilia moyo mpaka kuna kucha,
 
Kuzindua hakunaga muda mkuu, watu wanazindua tu iwe kabla ya au baada ya au wakati wa ile kitu haina muda maalum
Sasa hio ndio unapiga chini.
Papa wemba haikua mambo kujidunga,afya ilikua mbovu tAyari akapewa deal hilo abidjan pesa mingi kazama.
Ndo kaishia pale.
Alikua ametoka hospitali😶
 
Taarifa zilizo thibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.

Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉

👉 Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu.

Miongoni mwa kazi zake zilizo vuma ni goat, super star, Mr big flexa, ma gang na nyinginezo.

Mwenyezi MUNGU, aipumzishe roho ya marehemu, mahali pema🙏🙏.

View attachment 2546885

View attachment 2546891
Huo moshi una sumu..na ndo umemuua..
 
Sasa hio ndio unapiga chini.
Papa wemba haikua mambo kujidunga,afya ilikua mbovu tAyari akapewa deal hilo abidjan pesa mingi kazama.
Ndo kaishia pale.
Alikua ametoka hospitali😶
Ya Papa Wemba yanaeleweka Ila ulipogusia kuhusu dawa ya minyoo nikasema hio hainaga muda maalum muda wowote hata on stage mtu anaweka kwa mwili bila wasi wasi
 
Huo moshi una sumu..na ndo umemuua..
Usisahau ameanguka toka juu ya stage mpaka chini, juu Pana urefu sio km alivyoanguka Papa Wemba si umeona jamaa wanadumbukia chini kwenda kumuokota

Alafu ukiangalia kwa makini unaona km kuna mtu alikua anampiga hadi akaanguka pale jukwaani (Ila haonekani) mazingaombwe, mwisho kule kwenye mimoshi kamsuka adondoke chini ya stage
 
Nakumbuka nimekaa zangu sehemu dada mmoja akanifuata akaniambia kijana naona una kitu naomba kuongea na wewe, yaan nafsi yangu inanituma kuzungumza na wewe, nilipojaribu kumdadisi yule dada kumbe lengo lake ananihitaji anitengenezee mazingira kutokana na muonekano wangu eti niwe pastor wa mchongo, nikasema whaaat umesemaje?
Ulikutana na tapeli tu,Kama matapeli wengine
 
Ulikutana na tapeli tu,Kama matapeli wengine
Mama mchungaji sio tapeli nilikuja kujua baadae kua yule dada ni mtoto wa mchungaji fulani, baada ya hio siku moja katika pitapita zangu akanitambulisha kwa mama yake Ila Mimi niligoma kua pastor wa mchongo ingawa Bible knowledge imelala kichwani,
 
Taarifa zilizo thibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.

Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:[emoji117]

[emoji117] Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu.

Miongoni mwa kazi zake zilizo vuma ni goat, super star, Mr big flexa, ma gang na nyinginezo.

Mwenyezi MUNGU, aipumzishe roho ya marehemu, mahali pema[emoji120][emoji120].

View attachment 2546885

View attachment 2546891
Alizidisha dozi?
 
Uliambiwa nyimbo za kidunia ni za Mungu?,au mnapenda kubishana bila sababu za msingi?,amefariki kwenye stej anaimba mambo ya duniani,hapo watu wamevaa uchi 99,%,walevi wa pombe sigara humo,wanao zini,kubambiana humo yaani kila aina ya uchafu huwa inapatikana humo,afu unabisha nn Sasa?
Adam na Hawa walivyoumbwa walikuwa na nguo zipi ?
Kama hawakuwa na nguo iweje uone ajabu hao kuvaa nusu uchi kwa 99% ?
 
Back
Top Bottom