TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Yeah for sure , but 2pac legacy still lives, , sina clue alikuwa ni kijana mwenye upeo wa kiasi gan ila nadhan hakuwa kijana wa kwaida .
Hadi leo Interviews zake nyingi ukiangalia unaona kichwani alikuwa very smart nigga
Alitakiwa awe mwanasiasa sio rapper.Kifo chake kilikua kama Bob Marley vile.Waliuawa kwa misimamo yao
 
Tupac ni USA, tena yule odds zilikuwa against naye. Ila this is Costa tich.
👉Alikuwa na bifu??
👉Au ajali tu🤔🙏
Najairibu kuelezea jinsi life lilivyo delicate and very unfair for some people
Nakaribia kuishi mara mbili ya umri wa 2pac, halafu sina impact au legacy yoyote ya maana nitakayoiacha kwa jamii niliyoishi!!! , Why the good die young? That's very disturbing!!
 
Vijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Jamaa hakua sawa pale on stage sijui kwanini hawakugundua kabla?, Yaan kamdondokea hadi yule body guard mara ya kwanza akamuinua hajagundua tu kwamba jamaa hayupo sawa?

Hapa jamaa alianguka ndio shida ilianzia wakamuinua,
Screenshot_20230312-033257.png

Alipotembea kidogo akaenda wanapopuliza gesi ile ya jukwaa ile mimoshi
Screenshot_20230312-033405.png

Sasa hapa kwenye mimoshi ndio jamaa alipokosa pumzi ukiangalia unaona kabisa jamaa
Screenshot_20230312-033603.png

Kingine ukiangalia unaweza sema ni on stage km alivyoanguka Papa Wemba lakini titch amedondoka kutoka juu ya jukwaa mpaka chini
 
Taarifa fupi kuhusu maisha ya costa tich. 👉
👉Majina yake halisi ni : Costa tsobanoglou. a.k.a Costa tich.
👉Mahali alipozaliwa ni : nelpsruit, ndani nchi ya afrika kusini.
👉Mwaka wa kuzaliwa ni: 1995- tarehe ya kifo ni siku ya jumapili 12/03/2023.
Rest in peace Costa, there is a heaven for a niggaView attachment 2546884
Bwana mdogo saaana yaani dah kweli vizuri havidumu
 
Najairibu kuelezea jinsi life lilivyo delicate and very unfair for some people
Nakaribia kuishi mara mbili ya umri wa 2pac, halafu sina impact au legacy yoyote ya maana nitakayoiacha kwa jamii niliyoishi!!! , Why the good die young? That's very disturbing!!
Mkuu ishi tu maana kuishi ni bahati.
 
Back
Top Bottom