Reuben Challe
JF-Expert Member
- Dec 10, 2021
- 2,940
- 5,511
Dah...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
It's true 😔Duu mbna wanakufa sana kuna nn huko south????
Anyway kuna mkono wa mtu si bure
Alitakiwa awe mwanasiasa sio rapper.Kifo chake kilikua kama Bob Marley vile.Waliuawa kwa misimamo yaoYeah for sure , but 2pac legacy still lives, , sina clue alikuwa ni kijana mwenye upeo wa kiasi gan ila nadhan hakuwa kijana wa kwaida .
Hadi leo Interviews zake nyingi ukiangalia unaona kichwani alikuwa very smart nigga
Ulikuwepo mkuu 2016 🤔🤔🤔 kwenye show yakeAisee Rip,
Kifo kingine kiliuma km hiki ni Papa Wemba.
Ule wimbo anaimba anaanguka wanabeba stage niko hapo pembeni
Najairibu kuelezea jinsi life lilivyo delicate and very unfair for some peopleTupac ni USA, tena yule odds zilikuwa against naye. Ila this is Costa tich.
👉Alikuwa na bifu??
👉Au ajali tu🤔🙏
Jamaa hakua sawa pale on stage sijui kwanini hawakugundua kabla?, Yaan kamdondokea hadi yule body guard mara ya kwanza akamuinua hajagundua tu kwamba jamaa hayupo sawa?Vijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Naamini Martin Luther king , hakuwa smart kama 2pac , ni vile tu pac alizaliwa na kuishi ghettoAlitakiwa awe mwanasiasa sio rapper.Kifo chake kilikua kama Bob Marley vile.Waliuawa kwa misimamo yao
Una upumbavu, usipuuzwe.Inauma sana, halafu ukiangalia alikuwa bado mdogo sana.
Kwa nini ?95% sumu
Inasikitisha,mauti imemkuta anamwabudu shetani 😢😢Vijana wanaondoka wadogo sana wengine fame ndiyo chanzo, sasa sijajua kama alitubu alivyo mpigia debe shetwan akiwa na mbossonyo au ndiyo shettwaa atakuwa mwenyeji wake kwenye makao mapya.
Kabisa mkuu, tulienda hiyo show na x wife wangu huko kwao.Ulikuwepo mkuu 2016 🤔🤔🤔 kwenye show yake
Naona umebadirisha ID sasa ngatua na hio avatar au ndio wewe unaesema Yesu Kristo ni mtumishi wa Shetani?Hii ID inaniletea shidaa saana nabadili
Mlikua wote pindi anamuabudu Shetani?Inasikitisha,mauti imemkuta anamwabudu shetani 😢😢
Bwana mdogo saaana yaani dah kweli vizuri havidumuTaarifa fupi kuhusu maisha ya costa tich. 👉
👉Majina yake halisi ni : Costa tsobanoglou. a.k.a Costa tich.
👉Mahali alipozaliwa ni : nelpsruit, ndani nchi ya afrika kusini.
👉Mwaka wa kuzaliwa ni: 1995- tarehe ya kifo ni siku ya jumapili 12/03/2023.
Rest in peace Costa, there is a heaven for a niggaView attachment 2546884
Kwa hio wanamuabudu nani Shetani aliepita au?😥😭😭😭😭 27 too young au ni sir God anawakausha stejini sababu hawamuabudu 🤔
Mkuu ishi tu maana kuishi ni bahati.Najairibu kuelezea jinsi life lilivyo delicate and very unfair for some people
Nakaribia kuishi mara mbili ya umri wa 2pac, halafu sina impact au legacy yoyote ya maana nitakayoiacha kwa jamii niliyoishi!!! , Why the good die young? That's very disturbing!!
Ebu fafanua mkuuInasikitisha,mauti imemkuta anamwabudu shetani 😢😢