Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
- Thread starter
- #21
Inauma sana, halafu ukiangalia alikuwa bado mdogo sana.Oyah daah, mbona kama vzr vinakimbia sana hivo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inauma sana, halafu ukiangalia alikuwa bado mdogo sana.Oyah daah, mbona kama vzr vinakimbia sana hivo
Shetani nae anasali kumbeDuuh! Tusali jamani kijana alikua najua kunifurahisha kwenye amapiano daah huzuni
Bongo wasanii wanapakuliwa Hadi aibuMchizi alikuwa anaifanya poa sana amapiano
Hii ID inaniletea shidaa saana nabadiliShetani nae anasali kumbe
Na jina badiliHii ID inaniletea shidaa saana nabadili
Yeah bro, it's confirmed. The nigga is gone forever.Is this serious aisee?
Mida ya saa 1 lililo pitaKafariki mda huu huu au ???????Ngoja tuwacheki wadau wa sauzi watupe habari
Yeah kuna wadau wapo jozi wananiambia alikua kwenye show mdau.Nadhani heart attack.Mida ya saa 1 lililo pita
Hebu punguza kutupiga marungu, we SI umeuliza hata dakika 1 haijaisha🤔🤔. Au ndo kuchangamsha genge🤔🤔Yeah kuna wadau wapo jozi wananiambia alikua kwenye show mdau.Nadhani heart attack.
Kumbe umeenda kaumri😉Dogo kaniuma aisee😭😭 daaah
Kuna jamaa kanichek whatsup group mda huu huu ila bado siamini naona uongo hapa anadai jamaa alikua na uzito uliopitiliza.Ndio nasikilizia na wengine nihakikishe zaidi.Hebu punguza kutupiga marungu, we SI umeuliza hata dakika 1 haijaisha🤔🤔. Au ndo kuchangamsha genge🤔🤔
Yeah mkuu.....yule ni dogo kwanguKumbe umeenda kaumri😉
Taarifa zilizo thibitishwa zimeripoti kuwa msanii Costa Tich amefariki dunia.
Msanii huyo alikuwa akifanya onyesho stejini, ndipo alipo anguka ghafla na kukumbwa na umauti.:👉
👉 Taarifa za kina zaidi, kuhusiana na chanzo Cha kifo bado hazijajulikana. Zaidi ya kusemekana ni ajali tu.
Miongoni mwa kazi zake zilizo vuma ni goat, super star, Mr big flexa, ma gang na nyinginezo.
Mwenyezi MUNGU, aipumzishe roho ya marehemu, mahali pema🙏🙏.
View attachment 2546866
Ni kweli mkuu, ila tufurahie wakati tulionao mkuu🙏🙏World is nothing