TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini

Taarifa fupi kuhusu maisha ya costa tich. 👉
👉Majina yake halisi ni : Costa tsobanoglou. a.k.a Costa tich.
👉Mahali alipozaliwa ni : nelpsruit, ndani nchi ya afrika kusini.
👉Mwaka wa kuzaliwa ni: 1995- tarehe ya kifo ni siku ya jumapili 12/03/2023.
Rest in peace Costa, there is a heaven for a niggaView attachment 2546884
Au overdose ya molly mdau??????Maana mwana alikua anatumia vile vitu.Sababu madogo sauzi umarekani mwingi sana.
 
Uli muuzia??, Au ndo kujifanya una mjua marehemu Sana.
👉Usha ambiwa sababu hazijajulikana, ila umeanza conspiracy zako. Zisizo na kichwa Wala mguu🤔🤔
Kuuliza muhimu mdau,maana hata AKA niliuliza ile hit imetokana na kifo cha aliyekua mchumba wake au gang,s war?????Kuuliza muhimu sababu vitu hivi vina julikana kwa wasanii wa bondeni mdau.
 
Back
Top Bottom