Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,576
- 13,545
Martin Luther alifeli sababu alishindwa kuwaunganisha wamarekani weusi wote.Hana tofauti na malcom x wote walfeli.Lakini pac na notorious walikua smart guys sema tu walizaliwa kwenye hoods za watu wa kawaida kimapatoNaamini Martin Luther king , hakuwa smart kama 2pac , ni vile tu pac alizaliwa na kuishi ghetto