TANZIA Msanii Costa Titch afariki dunia baada ya kudondoka stejini


Wanasema alikuwa hatumii kikevi chochote kile kwa sababu alikuwa ana kifafa ,kama umeona video oale chin alikakamaa kama watu wa kifafa wanavyokuwa,nadhan kungekuwa na mtu wa afya angemsaidia kama daktari wake kwa sababu alikuwa anajijua ana shida hiyo ,na hizo kelele na taa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…