Dormant Account
JF-Expert Member
- Apr 5, 2022
- 11,308
- 32,757
Nitumie wimbo wake mmoja
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kbsa yan alitisha sanaaDogo aliweza aisee....aliweza Yaan[emoji24][emoji24][emoji24]
Sana yaanKbsa yan alitisha sanaa
Daah nimeamini vizuri havidumuSana yaan
Daah nimeamini vizuri havidumu
KbsaaaIla kifo ni fumbo
Mtake radhi Kabza de SmallAchen unazi…king wa amapiano ni kondeboy mjeshi
Big flex tafuta iyoNitumie wimbo wake mmoja
jaribu kuwa serious kidogoAchen unazi…king wa amapiano ni kondeboy mjeshi
shetani,Nitumie wimbo wake mmoja
mhhKifo chake kilitabiriwaView attachment 2550232
Wengi wanasema madawa ya kulevya ndio sababu
Alianguka akaamka tena kuendelea kuimba na akaanguka tena
Mtu wa kawaida alipoanguka angeshtuka na kusubiri huduma ya kwanza
Wengine wanasema ni heart attack sasa tusubiri ukweli tu atakapopimwa na kutangazwa View attachment 2550160
Kifo chake kilitabiriwaView attachment 2550232
Hapana sidhaniHawaediti kweli??
Hapana sidhani
Imeniuma sana na alikuwa mdogo kabisa anaanza ku hit kwenye game ndio anafariki, alafu ukichunguza wa South tangu enzi za Senzo na Lucky dude wanauwana tuInauma sana, halafu ukiangalia alikuwa bado mdogo sana.